Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vizuri tu, kwa namna kaizer chief alivyotufanya tutakuwa makini sana kumbuka tulichomfanya mfanya as vita baada ya kutufungwa 5,msimu uliofuata tulikuwa makini tukamtoa najua wao watatudharau ndipo watakapo dhalilika simba ina uwezo mkubwa sana ukiona amefungwa amedharau mechi.Hivi Wanasimba wenzangu, hivi kwa Orlando tutatoka kweli?
Hakunaga ndoo ya kufika robo fainali we koloNdoo atayobeba yanga ina thamani kuliko ile ya kutinga robo fainali kombe la shirikisho Afrika?
Kulingana na ubora walio uonyesha klabu ya simba katika mechi hizi 3 za hatua ya makundi ya Caf confederation cup ni wazi vigogo hawa wa soka la afrika huenda wakaenda kutwaa taji hilo kubwa afrika msimu huu 2021/2022
Simba imeonekana kuwa bora sana kwenye mechi 3 hizi za mwanzo ambapo imekuwa timu pekee katika kundi D kupata walau point ugenini na hii inatoa ishara kubwa kuwa huenda simba akamaliza kundi hili akiwa kileleni na kutinga hatua ya robo fainali
Kwa namna nilivyoziangalia timu shiriki za michuano hii ni wazi simba ana nafasi kubwa si ya kupita tu hatua ya robo fainali bali hata nusu fainal hali itakayopelekea kuingia fainali ya michuano hii na kubeba taji hilo kwa mara yao ya kwanza.
Simba kiuchezaji ina imarika kila siku benchi la ufundi linafanya kazi kubwa sana hivyo mpira watakaoucheza robo na nusu fainali utawashtua watanzania wengi hasa waliodhani labda simba imeshuka makali yake.
Tuendelee kusubiri muda lakini kwa zaidi ya 90% simba anaenda fainali ya hii michuano na kwa 60% atabeba hii ndoo kwa mara ya kwanza na kusimika rasmi ubabe barani afrika huku tukilielekea kombe la klabu bingwa barani afrika msimu unaofuata
View attachment 2135697
View attachment 2135698
View attachment 2135699
Uwe unaangalia uzi ni wa lini mkuu kabla ya kucommentNyie ndy wachawi wenyewe wa Simba.
Mkishaona dalili za mvua basi mnatabiri mvua kunyesha.
Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
mwakanivipi jamani ubingwa lini
Hawa amini macho yaoBerkane muondowe Maana ataishia makundi . Tunza hii post
Kupata comedy kama hii bonyeza 0Kulingana na ubora walio uonyesha klabu ya simba katika mechi hizi 3 za hatua ya makundi ya Caf confederation cup ni wazi vigogo hawa wa soka la afrika huenda wakaenda kutwaa taji hilo kubwa afrika msimu huu 2021/2022
Simba imeonekana kuwa bora sana kwenye mechi 3 hizi za mwanzo ambapo imekuwa timu pekee katika kundi D kupata walau point ugenini na hii inatoa ishara kubwa kuwa huenda simba akamaliza kundi hili akiwa kileleni na kutinga hatua ya robo fainali
Kwa namna nilivyoziangalia timu shiriki za michuano hii ni wazi simba ana nafasi kubwa si ya kupita tu hatua ya robo fainali bali hata nusu fainal hali itakayopelekea kuingia fainali ya michuano hii na kubeba taji hilo kwa mara yao ya kwanza.
Simba kiuchezaji ina imarika kila siku benchi la ufundi linafanya kazi kubwa sana hivyo mpira watakaoucheza robo na nusu fainali utawashtua watanzania wengi hasa waliodhani labda simba imeshuka makali yake.
Tuendelee kusubiri muda lakini kwa zaidi ya 90% simba anaenda fainali ya hii michuano na kwa 60% atabeba hii ndoo kwa mara ya kwanza na kusimika rasmi ubabe barani afrika huku tukilielekea kombe la klabu bingwa barani afrika msimu unaofuata
View attachment 2135697
View attachment 2135698
View attachment 2135699
Aibu zingine zakujitakiaBerkane hana uwezo wa kumaliza akiongoza kundi mbele ya simba hawezi na hatakuja weza na asipojiangalia anaweza ishia makundi
Umeumbuka!Kulingana na ubora walio uonyesha klabu ya simba katika mechi hizi 3 za hatua ya makundi ya Caf confederation cup ni wazi vigogo hawa wa soka la afrika huenda wakaenda kutwaa taji hilo kubwa afrika msimu huu 2021/2022
Simba imeonekana kuwa bora sana kwenye mechi 3 hizi za mwanzo ambapo imekuwa timu pekee katika kundi D kupata walau point ugenini na hii inatoa ishara kubwa kuwa huenda simba akamaliza kundi hili akiwa kileleni na kutinga hatua ya robo fainali
Kwa namna nilivyoziangalia timu shiriki za michuano hii ni wazi simba ana nafasi kubwa si ya kupita tu hatua ya robo fainali bali hata nusu fainal hali itakayopelekea kuingia fainali ya michuano hii na kubeba taji hilo kwa mara yao ya kwanza.
Simba kiuchezaji ina imarika kila siku benchi la ufundi linafanya kazi kubwa sana hivyo mpira watakaoucheza robo na nusu fainali utawashtua watanzania wengi hasa waliodhani labda simba imeshuka makali yake.
Tuendelee kusubiri muda lakini kwa zaidi ya 90% simba anaenda fainali ya hii michuano na kwa 60% atabeba hii ndoo kwa mara ya kwanza na kusimika rasmi ubabe barani afrika huku tukilielekea kombe la klabu bingwa barani afrika msimu unaofuata
View attachment 2135697
View attachment 2135698
View attachment 2135699
Kwaio Ulikuwa Unategemea Bocco, Mugalu, Muhilu, Kibu Na Mzamiru Ndo Wakupe Huo Ubingwa [emoji1787]Thread closed!.
Hawaamini macho yaoOya Huu Ubingwa Vp? [emoji23]