Utabiri: Simba kutoa sare ya 1-1 mchezo wa leo dhidi ya Wydad

Utabiri: Simba kutoa sare ya 1-1 mchezo wa leo dhidi ya Wydad

Kidagaa kimemwozea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
3,680
Reaction score
6,554
Leo April 22 kutapigwa mchezo mkali wa ligi ya mabingwa Africa ambapo Wenyeji Simba ya Dar es salaam watawakaribisha Wydad Casablanca ya pale Morocco.

Mchezo wa Simba dhidi ya Wydad haijawahi kuwa rahisi huku Whdad wakionesha ubabe dhidi ya Simba. Mchezo wa mwisho Simba dhidi ya Wydad Simba ikiwa na golikipa Bora wa Karne ya 21 J.kaseja Juma waliweza kufungwa Goli mbili ndani ya dakika moja na Simba kupoteza mchezo huo kwa goli tatu kwa 0. Leo mchezo hautakiwi kuwa tofauti.

Uwezo wa golikipa atakayecheza Leo ndio utakaowapa matokeo Simba leo Kama golikipa hana uwezo wa kufanya save zaidi ya 5 inaweza kuwa balaa.

Namna ya uchezaji wa morroco na timu nyingi kutoka Africa ya kaskazini shambulizi lao lazima lifike mwisho na Mara nyingi kwa usahihi. Simba itahitajika kutumika nguvu ya ziada ili kuwin mchezo

Utabiri
Algorithm ya masshele.com inaniambia FT SIMBA 1 WYDAD 1
 
Rivers kesho tunamfundisha yanga mpira
 
Simba anafungwa kama unabeti weka 1,000,000 uje kunishukuru baadae
 
Hii game simba anashinda warabu uwa hawana shida Sana na game za ugenini

Simba leo anashinda ingawa sijui watashinda ngapi!!
 
Leo April 22 kutapigwa mchezo mkali wa ligi ya mabingwa Africa ambapo Wenyeji Simba ya Dar es salaam watawakaribisha Wydad Casablanca ya pale Morocco.

Mchezo wa Simba dhidi ya Wydad haijawahi kuwa rahisi huku Whdad wakionesha ubabe dhidi ya Simba. Mchezo wa mwisho Simba dhidi ya Wydad Simba ikiwa na golikipa Bora wa Karne ya 21 J.kaseja Juma waliweza kufungwa Goli mbili ndani ya dakika moja na Simba kupoteza mchezo huo kwa goli tatu kwa 0. Leo mchezo hautakiwi kuwa tofauti.

Uwezo wa golikipa atakayecheza Leo ndio utakaowapa matokeo Simba leo Kama golikipa hana uwezo wa kufanya save zaidi ya 5 inaweza kuwa balaa.

Namna ya uchezaji wa morroco na timu nyingi kutoka Africa ya kaskazini shambulizi lao lazima lifike mwisho na Mara nyingi kwa usahihi. Simba itahitajika kutumika nguvu ya ziada ili kuwin mchezo

Utabiri
Algorithm ya masshele.com inaniambia FT SIMBA 1 WYDAD 1
Sawa
 
game za away waarabu huwa awaonyeshi makali hasa ukiwa makini ila ukienda kwao sasa ndo utajua aujui kadadeki.
 
Hii game simba anashinda warabu uwa hawana shida Sana na game za ugenini

Simba leo anashinda ingawa sijui watashinda ngapi!!
Sishabikii sana mpira ila Simba leo hata wakidroo tu nitawapongeza sana...huu usemi wako kwamba hawana shida na game za ugenini hauna mantiki sana.
 
Leo April 22 kutapigwa mchezo mkali wa ligi ya mabingwa Africa ambapo Wenyeji Simba ya Dar es salaam watawakaribisha Wydad Casablanca ya pale Morocco.

Mchezo wa Simba dhidi ya Wydad haijawahi kuwa rahisi huku Whdad wakionesha ubabe dhidi ya Simba. Mchezo wa mwisho Simba dhidi ya Wydad Simba ikiwa na golikipa Bora wa Karne ya 21 J.kaseja Juma waliweza kufungwa Goli mbili ndani ya dakika moja na Simba kupoteza mchezo huo kwa goli tatu kwa 0. Leo mchezo hautakiwi kuwa tofauti.

Uwezo wa golikipa atakayecheza Leo ndio utakaowapa matokeo Simba leo Kama golikipa hana uwezo wa kufanya save zaidi ya 5 inaweza kuwa balaa.

Namna ya uchezaji wa morroco na timu nyingi kutoka Africa ya kaskazini shambulizi lao lazima lifike mwisho na Mara nyingi kwa usahihi. Simba itahitajika kutumika nguvu ya ziada ili kuwin mchezo

Utabiri
Algorithm ya masshele.com inaniambia FT SIMBA 1 WYDAD 1
Natamani SIMBA washinde hili game!
 
Rivers kesho tunamfundisha yanga mpira
Mimi kwa upande wangu matokeo nimeshayapokea.
Nimegundua KAFU na TIFUTIFU wanatabia zinazofanana.
Logic ya kuipanga mechi moja tu ichezwe saa nane mchana sipati picha kama ule mchezo wa mwisho kwenye makundi kupangwa muda tofauti na mpinzani wake waliokuwa wanatafuta kuongoza kundi.
 
Mimi kwa upande wangu matokeo nimeshayapokea.
Nimegundua KAFU na TIFUTIFU wanatabia zinazofanana.
Logic ya kuipanga mechi moja tu ichezwe saa nane mchana sipati picha kama ule mchezo wa mwisho kwenye makundi kupangwa muda tofauti na mpinzani wake waliokuwa wanatafuta kuongoza kundi.
Aisee watu wanaigishwa game saa nane ya mchana. Sijui kwaasa Nigeria kuna hali gani ya hewa. Jua la saa nane hadi saa kumi linakuwa sio mchezo.
 
Back
Top Bottom