Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
Nachofurahi hii corona waliozoea kutibiwa nje wanatibiwa humu humu na watafia humu humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweli, wewe ndo ukasome katiba vizuri, akina Hashimu Rungwe waligombea uspika baada ya kukosa uraisSoma vizuri Katiba ya Nchi kabla hujapost upupu. Spika lazima awe Mbunge wa Jimbo
Unaibu spika ndio lazima uwe mbunge wakuchaguliwa au wakuteuliwaJiulize kwanini Mwaka 2015 Tulia alichukua Fomu ya Uspika, alafu baada ya masaa kadhaa akarudia unaibu spika.
Sio kweli, sharti ni yeye kupendekezwa na Chama cha siasa. Rejea waliogombea wakati uliopita.Soma vizuri Katiba ya Nchi kabla hujapost upupu. Spika lazima awe Mbunge wa Jimbo
Mkuu umechanganya nahsi, Speaker sio lazima awe mbuge, ila tu Prime minister ndio lazima awe mbunge wa kuchaguliwaSoma vizuri Katiba ya Nchi kabla hujapost upupu. Spika lazima awe Mbunge wa Jimbo
Hii User name wanatumia watu zaidi ya kumi wenye mtindio wa ubongo.Leo kila mmoja akutambue, maana hizi taka ndio zinatuharibia JF.
Siku 3 za kwanza post 680 wastani wa post 9.4 per 1 hrs without sleeping!
Kweli ccm kuna magumegume kuliko Yale ya Kona bar!View attachment 1421855
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma Vizuri Katiba. Spika siyo lazima awe Mbunge..Soma vizuri Katiba ya Nchi kabla hujapost upupu. Spika lazima awe Mbunge wa Jimbo
Hahahaaaa........mbwiga bhana miye nakupuuza tu utajibiwa na bavicha!Soma vizuri Katiba ya Nchi kabla hujapost upupu. Spika lazima awe Mbunge wa Jimbo
Chadema walikuwa na mgombea uspika asiyekuwa mbunge mwaka 2015 na alipoukosa alirudi zake CCM!Jiulize kwanini Mwaka 2015 Tulia alichukua Fomu ya Uspika, alafu baada ya masaa kadhaa akarudia unaibu spika.