UTABIRI: Upinzani utapata zaidi theluthi moja ya wabunge 2025

UTABIRI: Upinzani utapata zaidi theluthi moja ya wabunge 2025

Kutokana na upepo wa kisasa unavyovuma na kupepea, wabunge wa CCM wa mikoa hii ifuatayo wanapaswa wajiandae kisaikolojia:
Kilimanjaro.
1) Moshi mjini: CHADEMA
2)Hai:CHADEMA
3)Moshi vijijini: CHADEMA
4)Siha: CHADEMA
5)Vunjo:CHADEMA
6)Rombo CHADEMA

ARUSHA
1) Arusha town: CHADEMA
2)Arumeru mashariki: CHADEMA
4) Arumeru magharibi: CHADEMA
Kule umasaini kugumu kidogo ingawa CHADEMA inaweza kupata baadhi ya majimbo na kata.

MARA
1)Musoma mjini:CHADEMA
2)Tarime mjini:CHADEMA
3)Tarime vijijini:CHADEMA
4)Bunda mjini:CHADEMA
5)Serengeti:CHADEMA
6)Rorya:CHADEMA

DAR ES SALAAM
1)Ubungo:CHADEMA
2)Kibamba:CHADEMA
3)Kinondoni:CHADEMA
Upo uwezekano wa CHADEMA kushinda majimbo zaidi ya hayo. Jimbo la kawe sikuliweka katika kapu la CHADEMA kwasababu kama mdee akigombea ubunge kupitia chama kingine anaweza kushinda au kugawa kura na hivyo kuinufaisha CCM.

MBEYA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3. Ikiwemo mbeya mjini,mbarali,mbeya vijijini n.k.
SONGWE
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3 yakiwemo tunduma,mbozi n.k.
IRINGA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3 yakiwemo iringa mjini,isimani n.k.
MANYARA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3
SINGIDA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2
NJOMBE
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2.
MWANZA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2.
SHINYANGA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2
SIMIYU
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2.
MOROGORO
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3.

ACT WAZALENDO wanaweza kutamba mikoa ifuatayo:
KIGOMA
1) Kigoma mjini ACT WAZALENDO
2) Kigoma kusini:ACT WAZALENDO
3)Kasulu mjini:ACT WAZALENDO
Upo uwezekano wa kuongeza majimbo kwa Act wazalendo.
LINDI
1) Lindi mjini: ACT WAZALENDO
2)Kilwa kusini: ACT WAZALENDO. Kama bwege atagombe itakuwa rahisi Sana.
RUVUMA
1) Tunduru kaskazini:ACT WAZALENDO. Ado ni mbunge anaesubiri kuapishwa.
2) Tunduru kusini:ACT WAZALENDO. Mtutura ni mbunge anaesubiri kuapishwa.
ZANZIBAR
PEMBA: majimbo yote 18 ya pemba yatachukuliwa na act wazalendo.
UNGUJA: ACT WAZALENDO wanaweza kushinda zaidi ya majimbo 9.
NB. Yote yatawezekana kama uchaguzi itakuwa wa huru na wa haki.

I STAND TO BE CORRECTED.

NAWASILISHA KWENU.
Ongeza na mkoa wa Rukwa..majimbo 4..Kwela ..nkasi kaskazin na nkasi kusini na sumbawanga mjini

Kagera majimbo 6, karagwe, kyerwa , bukoba mjini, muleba kusini, ngara na misenyi

Geita 3 Chatto , Geita mjini na Busanda

Dodoma 2.. dodoma mjini na chemba

Singida 4, singida mjini, singida mashariki, manyoni na singida kaskazin

Mtwara 3 , mtwara mjini, ndanda na masasi

Dar es salaam 8, kigamboni, Temeke, ukonga, segerea, kibamba, ubungo, kawe na kinondoni

Tanga 3, Tanga mjini, Lushoto na korogwe

Ruvuma 3, madaba , songea mjini na peramiho

Morogoro 5, mlimba, mikumi, kilombelo, malinyi na ulanga

Hayo ndo majimbo ambayo Chadema itakwenda kuyachukua 2025 kwa ufupi ... people'ssss
 
Kutokana na upepo wa kisasa unavyovuma na kupepea, wabunge wa CCM wa mikoa hii ifuatayo wanapaswa wajiandae kisaikolojia:
Kilimanjaro.
1) Moshi mjini: CHADEMA
2)Hai:CHADEMA
3)Moshi vijijini: CHADEMA
4)Siha: CHADEMA
5)Vunjo:CHADEMA
6)Rombo CHADEMA

ARUSHA
1) Arusha town: CHADEMA
2)Arumeru mashariki: CHADEMA
4) Arumeru magharibi: CHADEMA
Kule umasaini kugumu kidogo ingawa CHADEMA inaweza kupata baadhi ya majimbo na kata.

MARA
1)Musoma mjini:CHADEMA
2)Tarime mjini:CHADEMA
3)Tarime vijijini:CHADEMA
4)Bunda mjini:CHADEMA
5)Serengeti:CHADEMA
6)Rorya:CHADEMA

DAR ES SALAAM
1)Ubungo:CHADEMA
2)Kibamba:CHADEMA
3)Kinondoni:CHADEMA
Upo uwezekano wa CHADEMA kushinda majimbo zaidi ya hayo. Jimbo la kawe sikuliweka katika kapu la CHADEMA kwasababu kama mdee akigombea ubunge kupitia chama kingine anaweza kushinda au kugawa kura na hivyo kuinufaisha CCM.

MBEYA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3. Ikiwemo mbeya mjini,mbarali,mbeya vijijini n.k.
SONGWE
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3 yakiwemo tunduma,mbozi n.k.
IRINGA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3 yakiwemo iringa mjini,isimani n.k.
MANYARA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3
SINGIDA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2
NJOMBE
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2.
MWANZA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2.
SHINYANGA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2
SIMIYU
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2.
MOROGORO
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3.

ACT WAZALENDO wanaweza kutamba mikoa ifuatayo:
KIGOMA
1) Kigoma mjini ACT WAZALENDO
2) Kigoma kusini:ACT WAZALENDO
3)Kasulu mjini:ACT WAZALENDO
Upo uwezekano wa kuongeza majimbo kwa Act wazalendo.
LINDI
1) Lindi mjini: ACT WAZALENDO
2)Kilwa kusini: ACT WAZALENDO. Kama bwege atagombe itakuwa rahisi Sana.
RUVUMA
1) Tunduru kaskazini:ACT WAZALENDO. Ado ni mbunge anaesubiri kuapishwa.
2) Tunduru kusini:ACT WAZALENDO. Mtutura ni mbunge anaesubiri kuapishwa.
ZANZIBAR
PEMBA: majimbo yote 18 ya pemba yatachukuliwa na act wazalendo.
UNGUJA: ACT WAZALENDO wanaweza kushinda zaidi ya majimbo 9.
NB. Yote yatawezekana kama uchaguzi itakuwa wa huru na wa haki.

I STAND TO BE CORRECTED.

NAWASILISHA KWENU.
Nafikiri hivyo.
 
Simiyu Itilima, Meatu ni opposition by nature lkn pia Maswa Ina u chadema sana, kwa Bariadi pia wakipata mgombea mzuri Kama wakili msomi Simba wanachukua mapema tu
 
Kwa nafasi ya urais wa Zanzibar, ubunge,uwakilishi na udiwani mtiti ni uleule au zaidi. Labda kidogo nafasi urais wa muungano,tena kama mama ataadjust kidogo mambo ya muungano yanayolalamikiwa kila siku na wazanzibari.
Vinginevyo nguvu kubwa ya dola itahitajika kulazimisha ushindi kwa CCM.
Na huko pemba ndio kabisaa.
Nguvu kubwa ya Dola itahitajika’’ mwisho wa kunukuu ! Duh 🙄 !!
 
Tuombe muda utasema - CCM si chama cha kupoteza Jimbo
Umma hawakubaliani na ule uhuni..
Labda wewe hukujua kilichofanyika maeneo kadhaa ya nchi kutokana na vyombo vya habari kuzuiwa kutangaza na mitandao ya internet kuzimwa!

Pia, kwa sasa hakuna mtawala katili wa kusimamia uporaji kwa shuruti kwa kiwango kile cha 28/10/2020.

 
Back
Top Bottom