Kutokana na upepo wa kisasa unavyovuma na kupepea, wabunge wa CCM wa mikoa hii ifuatayo wanapaswa wajiandae kisaikolojia:
Kilimanjaro.
1) Moshi mjini: CHADEMA
2)Hai:CHADEMA
3)Moshi vijijini: CHADEMA
4)Siha: CHADEMA
5)Vunjo:CHADEMA
6)Rombo CHADEMA
ARUSHA
1) Arusha town: CHADEMA
2)Arumeru mashariki: CHADEMA
4) Arumeru magharibi: CHADEMA
Kule umasaini kugumu kidogo ingawa CHADEMA inaweza kupata baadhi ya majimbo na kata.
MARA
1)Musoma mjini:CHADEMA
2)Tarime mjini:CHADEMA
3)Tarime vijijini:CHADEMA
4)Bunda mjini:CHADEMA
5)Serengeti:CHADEMA
6)Rorya:CHADEMA
DAR ES SALAAM
1)Ubungo:CHADEMA
2)Kibamba:CHADEMA
3)Kinondoni:CHADEMA
Upo uwezekano wa CHADEMA kushinda majimbo zaidi ya hayo. Jimbo la kawe sikuliweka katika kapu la CHADEMA kwasababu kama mdee akigombea ubunge kupitia chama kingine anaweza kushinda au kugawa kura na hivyo kuinufaisha CCM.
MBEYA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3. Ikiwemo mbeya mjini,mbarali,mbeya vijijini n.k.
SONGWE
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3 yakiwemo tunduma,mbozi n.k.
IRINGA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3 yakiwemo iringa mjini,isimani n.k.
MANYARA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3
SINGIDA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2
NJOMBE
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2.
MWANZA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2.
SHINYANGA
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2
SIMIYU
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 2.
MOROGORO
CHADEMA inaweza kushinda zaidi ya majimbo 3.
ACT WAZALENDO wanaweza kutamba mikoa ifuatayo:
KIGOMA
1) Kigoma mjini ACT WAZALENDO
2) Kigoma kusini:ACT WAZALENDO
3)Kasulu mjini:ACT WAZALENDO
Upo uwezekano wa kuongeza majimbo kwa Act wazalendo.
LINDI
1) Lindi mjini: ACT WAZALENDO
2)Kilwa kusini: ACT WAZALENDO. Kama bwege atagombe itakuwa rahisi Sana.
RUVUMA
1) Tunduru kaskazini:ACT WAZALENDO. Ado ni mbunge anaesubiri kuapishwa.
2) Tunduru kusini:ACT WAZALENDO. Mtutura ni mbunge anaesubiri kuapishwa.
ZANZIBAR
PEMBA: majimbo yote 18 ya pemba yatachukuliwa na act wazalendo.
UNGUJA: ACT WAZALENDO wanaweza kushinda zaidi ya majimbo 9.
NB. Yote yatawezekana kama uchaguzi itakuwa wa huru na wa haki.
I STAND TO BE CORRECTED.
NAWASILISHA KWENU.
Ongeza na mkoa wa Rukwa..majimbo 4..Kwela ..nkasi kaskazin na nkasi kusini na sumbawanga mjini
Kagera majimbo 6, karagwe, kyerwa , bukoba mjini, muleba kusini, ngara na misenyi
Geita 3 Chatto , Geita mjini na Busanda
Dodoma 2.. dodoma mjini na chemba
Singida 4, singida mjini, singida mashariki, manyoni na singida kaskazin
Mtwara 3 , mtwara mjini, ndanda na masasi
Dar es salaam 8, kigamboni, Temeke, ukonga, segerea, kibamba, ubungo, kawe na kinondoni
Tanga 3, Tanga mjini, Lushoto na korogwe
Ruvuma 3, madaba , songea mjini na peramiho
Morogoro 5, mlimba, mikumi, kilombelo, malinyi na ulanga
Hayo ndo majimbo ambayo Chadema itakwenda kuyachukua 2025 kwa ufupi ... people'ssss