Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawana huo uwezo wa kubishana na hoja za CAG wanamlia hela zake tuMwigulu ameshanunua vijana huko twitter kamzidi kete Makamba..
Sasahivi huko Twitter ni mapambio tu!!
Wale kazi yao ni kumfanyia PR mitandaoni.. Hizo hoja zinaenda zinafutika tu watanzania sisi wasahaulifu sana!!Hawana huo uwezo wa kubishana na hoja za CAG wanamlia hela zake tu
Kuna waziri saiz haogopi kumtaja mkubwa Kila akiona mishale inamuelekea.JK alikuwa mkali kweli kwa ile kauli ya Chalamila, mpaka akataka Chalamila ashughulikiwe, kumbe alijua sasa pesa zinapigwa ndani, hakuna sababu kwa mawaziri kutoka nje kwenda kukopa!.
Ndio maana wizara zinazoongoza kwa upigaji ni zile zile ambazo mawaziri wake wanausaka Urais, Nishati na Fedha. Hapo hakuna bahati mbaya, yote ni mipango.
Si ndo vijana wa mama,labda wanamsaidia mama kukusanya za uchaguzi,kwa akili ya kawaida haiwezekani wakope halafu president wa nchi asijue,🤔nitakuwa wa mwisho kuamini.JK alikuwa mkali kweli kwa ile kauli ya Chalamila, mpaka akataka Chalamila ashughulikiwe, kumbe alijua sasa pesa zinapigwa ndani, hakuna sababu kwa mawaziri kutoka nje kwenda kukopa!.
Ndio maana wizara zinazoongoza kwa upigaji ni zile zile ambazo mawaziri wake wanausaka Urais, Nishati na Fedha. Hapo hakuna bahati mbaya, yote ni mipango.
Si ndo vijana wa mama,labda wanamsaidia mama kukusanya za uchaguzi,kwa akili ya kawaida haiwezekani wakope halafu president wa nchi asijue,[emoji848]nitakuwa wa mwisho kuamini.