Utabiri wa Kijinga- Kinachoenda kutoka Kenya hivi karibuni

ICC tushukuru Mungu ipo.. Ungekuta saa hizi nchini Kenya, fisi wameshiba mizoga..
 
No one cares about tanzania ....that is not hate

Pili mueke maoni zenu kwa hzo forum zenu za kijinga sio hapa!
Jifunze kuwasiliana vyema. Uwezo mtu wa kufikiri hupimwa kwa jinsi anavyowasiliana.
 
Maagizo kwa vyombo vya ulinzi yanatolewa na Amiri Jeshi Mkuu sio Jaji Mkuu wala Spika.

Linapokuja suala la ulinzi ni lazima mihimili hiyo iwasiliane na mhimili wa tatu unaosinamiwa na Rais. Kupigiwa salute haimaanishi kutoa amri.
 
Maagizo kwa vyombo vya ulinzi yanatolewa na Amiri Jeshi Mkuu sio Jaji Mkuu wala Spika.

Linapokuja suala la ulinzi ni lazima mihimili hiyo iwasiliane na mhimili wa tatu unaosinamiwa na Rais. Kupigiwa salute haimaanishi kutoa amri.
Sio kweli, soma kazi, majukumu na madaraka ya Spika wa bunge, unadhani Job Ndugai anaposema ninawaagiza polisi wamtafute na kumkamata mbunge fulani popote alipo wamlete Dodoma, hayo madarka kayatoa wapi?, mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya, waziri, kama wanayo madaraka hayo, vipi wakuu wa mihimili ambao wapo level ya rais wasiwe na madaraka?
 
Haya mambo ya kuchukiana huwa nayaona mitandaoni tu! Sijawahi kupata shida nikiwa nai kwa sababu ya utanzania wangu, na sijawahi kuona mkenya akipata shida hapa tz kwa sababu ya ukenya wake. Provided kuwa wote wametimiza matakwa ya kisheria ya kuwa kwenye nchi husika!
 
Maombi ya Mdanganyika hata huwa haifiki kwenye ceiling board..... Mjiombee wenyewe... By the way Danganyika itaanguka before our eyes..... You are more unstable than you think..... We are here let's wait and see.
 
Wakipigana mzigo wa wakimbizi utakuja kwetu kwa hiyo tuwaombee wapite kwa amani
Mbona wakimbizi wenu kutoka zenji walikimbilia kenya? Au ndo mkuki kwa nguruwe.Tz ndo inapaswa kuombewa sio kenya...
 

Maraga na kundi lake hawatambui kuwa Hon Uhuru ni Rais na kamanda mkuu wa majeshi ndiyo maana hakuhudhuria kikao cha ufunguzi wa bunge wala hakumtuma muwakilisha kama heshima, sasa angaliomba ulinzi kwa mtu ambaye hamtambui! yaonekana yupo na NASA! Licha NASA walienda wachache, maanake Raila anamtambua Uhuru kuwa ni Rais!
 
Mkuu tofautisha hili ni jukwaa la siasa la Kenya sisi watanzania tuna jukwaa letu la siasa, kwa hiyo heshimu maoni yake na umjibu kwa busara
Busara IPI kenge wewe, yeye si ndio ameanza kuita forums za Tz za kijinga. Kwani hawawekagi habari za Tz humu Kenya forum. Embu tulia
 
Maombi ya Mdanganyika hata huwa haifiki kwenye ceiling board..... Mjiombee wenyewe... By the way Danganyika itaanguka before our eyes..... You are more unstable than you think..... We are here let's wait and see.
Me siwaombei mabaya, but nchi yetu itasimama na itakuwa bora sana na mfano wa kuigwa, haitakuja anguka. Can u elaborate from your point of view how we're more unstable
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…