Utabiri wa Mbowe kuachiwa na siasa za Tanzania kuelekea 2025

Mudawote USSR iboya 2021 Magonjwa Mtambuka comte mama D Mama Amon jingalao YEHODAYA Ritz Countrywide zindouna Elitwege@wakudadavuwa
 
Kwa nini ulimuua Ben Saanane?
 

Nimekuelewa sana, ila natamani CHADEMA wangekuelewa kama nilivyokuelewa mimi maana tanzania tuna chama kimoja tuu kilicho imara kwa sasa, na wao pia hawajalala. Wakati ni mali

Ni hayo tuu!
 
Mkuu unakubali kwa vigezo vipi?
Utabiri huwa hauna vigezo ni kusubiria tu wakati/nyakati kama zilivyotajwa. Kama ilivyotokea kwa Mwendazake.
Mambo yanayopangwa ndio huwa yana vigezo na muda tarajiwa
 
Pray for the nation, ikikubaliwa mbiguni majibu yakawa waondeshe ccm, je mtakubali kuachia nchi bila machafuko?
 
Tatizo lako huwa unajitabiriwa kufa hata wewe mwenyewe. Hata hivyo huo sio utabiri ni tathimini ya kile kinachoendelea kuhusu hiyo kesi.
 
Hiyo hali iko kwenye mitandao ya Twitter na JamiiForums tu na FB kiasi. Kwenye maisha ya kawaida Mbowe siyo issue kabisa. Hana togauti na mahabusu yeyote.

Kwanza nchi iko na utulivu sana kwa kipindi hiki. Tafuteni hela na vizazi vyenu acheni kupoteza muda kuhangaika ma Mbowe.
 
Ccm Ingekuwa bize na maendeleo kusingekuwepo machinga wao wapo bize na visivyo na tija
 
Mtu ambaye hawezi kuandika kwa ufasaha katika karne ya 21 ni wa kupuuzwa kama wahuni wa Buza tu.
Usirogwe ukampuuza huyu jamaa.
Wazoefu wa JF tunamjua vizuri!
Hujifanyaga nabii,akiandika kama bata au darasa la nne,hizo mbwembwe tu na kuwapoteza watu wasiofuatilia mambo.
Huyu ni mtu mzito na nadhani anatumika kusafisha njia kabla ya jambo fulani.
Usimdharau hata kidogo.
We mfuatilie huku ukivumilia mwandiko wake,utakuja kunielewa.
 
Hakuna mtanzania Bara atakae mpigia kura Mwanamke wa Urojo achukue nchi!!!Kama CHADEMA WATAMSIMAMISHA TUNDU LISU KWA MARA NYINGINE NI UKWELI USIOPINGIKA NCHI ITAENDA UPINZANI!!!JE WAZEE WA CHAMA WATAKUBALI????!!!TUSUBIRI TUONE!!!!
 
Ndio ndio mkuu Nimeona Mwamba wa kaskazini akitamalaki huko Hai kilimanjaro na pia Mama akitamalaki na jezi za yanga hapo Benjamin mkapa stadium!!!
 
Sijui hata umeandika takataka gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…