Utabiri wa mechi za Simba na Yanga wiki hii

Utabiri wa mechi za Simba na Yanga wiki hii

Simba: atashinda bao mbili kwa nunge bao la pili watapa jioni kabisa japo mchezo utakuwa mgumu.
Yanga: tofauti na matarajio ya wengi mchezo huu utakuwa mgumu kwa Yanga na wakimbinu zaidi kwa wapinzani wageni watatangulia huku Yanga akichomoa wajikute muda siyo rafiki tena,sare ya magoli.
unatabiri au unasimulia
 
Sahihi kabisa
.
IMG-20230228-WA0036.jpg
 
Back
Top Bottom