Utabiri wa Pascal Mayalla na maono ya Askofu Kardinal Pengo

Utabiri wa Pascal Mayalla na maono ya Askofu Kardinal Pengo

DAT BOY SU

Member
Joined
Nov 15, 2017
Posts
29
Reaction score
30
Wana jamii nimetafakari hiki kitu nimeona sio vibaya kama tukashare mtazamo na wanazengo. Ndugu yetu mwandishi nguli humu ndani aliwahi kupost nyuzi moja kuhusu Mh. Mkuu wa Mkoa wa Dar Ndugu Paul Makonda kuwa anafaa ama anaweza kuja kuwa namba moja wa nchi yetu kwa siku za usoni baada ya huyu wa sasa kumaliza muda wake, alijaribu kudadavua sababu kedede sifa pamoja na mapungufu yake kwa mtazamo wake yeye na mwisho wa siku akasema anaweza amanafaa kuwa namba moja wetu.

Miezi, siku nyingi zimepita tangu atoe mawazo na mtazamo wake juu ya RC wa Dar sijui kama bado mpaka leo kama atakuwa amebadilisha au bado yupo na mtazamo wake ule ule, sababu mwenyewe yupo atakuja kutueleza.

Kama sijakosea mwaka na miezi kadhaa imepita tangu kaka yetu Mayala atoe mawazo yake. Majuzi tu hapa mkuu wa mkoa wa dar alikuwa na mazungumzo na viongozi wetu wa kiroho (Dini), hapa mkoani baada ya mazungumzo yale Askofu Mkuu Mstaafu Kardinal Pengo alinukuliwa akisema kuwa Ndugu RC Paul Makonda anafaa na ana uwezo wa kuja kumrithi Mh. Rais aliyepo madarakani baada ya muda wake kwisha na kutoa sifa kemkem kwa RC kuwa ni mtu sahihi kwa nchi yetu hapo baadae.

Mgongano huu wa mawazo wa watu hawa maarufu je umetokea kwa bahati mbaya au ndo nyota njema huonekana asubuhi kwa RC wetu anyway lets wait and see.
 
Kama unajua vyema maana hali si ya msemo wa "kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa" basi hao wasemaji wako ndicho walichomaanisha.
 
Watu mnaumwa ugonjwa wa akili wengi sana
 
Mayala alimtabiria makonda kuwa mkuu wa mkoa akiwa mkuu wa wilaya,mayala aliandika kuhusu magufuli kuwa mteuliwa wa uraisi ndani ya chama mwaka 2012 aliandika haya,Juz nimeona pia aliandika kuhusu makonda kuwa raisi ajae!!!Mi naona uandishi wa mayalla sio wa kubahatisha kuna uhakika fulani!!!LABDA ULE UTAALAM WAO NA MSHANA WA AUSTRAL PROJECTION UNAHUSIKA KWENYE HAYA!!!NGOJA TUONE!!!
 
Kama nchi yetu inafuata demokrasia hawezi,Ila Kwa tume Hii ya uchaguzi na style ambayo CCM huwa inatumia kupata viongozi wake,kuna siku utakuja kunikumbuka! Makonda kuwa Rahisi wa nchi Hii Kwa mfumo wa nchi yetu na katiba tuliyo nayo NI Rahisi kama mlevi kukata chupa ya safari.Kwani Kwa akili ya kawaida inakuingia akilini hata kuwa mkuu WA mkoa wa jiji kama DSM? Mbona amekua? Umesha ruhusu kidole kuingia,hata nanih itaingia.
Bashite awe rais wa tz... Siwezi kuhamini na haziwezi kutokea.
 
washindwe na walegee!
bashite, what a buffoon.
 
Na kuna nabii mmoja hapa nchi alitabiri kuwa Rais ajae si mbunge wala Waziri wala Naibu waziri katika serikali hii ya sasa
 
Kuna debate ilikuwemo humu jamvini mwananzengo mmoja alinikaripia kuwa mtajuta kwanini mlitupa wananzengo hatuondoki tena madarakani!! Yakitokea haya naikumbuka posti ile!!
Wana jamii nimetafakari hiki kitu nimeona sio vibaya kama tukashare mtazamo na wanazengo. Ndugu yetu mwandishi nguli humu ndani aliwahi kupost nyuzi moja kuhusu Mh. Mkuu wa Mkoa wa Dar Ndugu Paul Makonda kuwa anafaa ama anaweza kuja kuwa namba moja wa nchi yetu kwa siku za usoni baada ya huyu wa sasa kumaliza muda wake, alijaribu kudadavua sababu kedede sifa pamoja na mapungufu yake kwa mtazamo wake yeye na mwisho wa siku akasema anaweza amanafaa kuwa namba moja wetu.

Miezi, siku nyingi zimepita tangu atoe mawazo na mtazamo wake juu ya RC wa Dar sijui kama bado mpaka leo kama atakuwa amebadilisha au bado yupo na mtazamo wake ule ule, sababu mwenyewe yupo atakuja kutueleza.

Kama sijakosea mwaka na miezi kadhaa imepita tangu kaka yetu Mayala atoe mawazo yake. Majuzi tu hapa mkuu wa mkoa wa dar alikuwa na mazungumzo na viongozi wetu wa kiroho (Dini), hapa mkoani baada ya mazungumzo yale Askofu Mkuu Mstaafu Kardinal Pengo alinukuliwa akisema kuwa Ndugu RC Paul Makonda anafaa na ana uwezo wa kuja kumrithi Mh. Rais aliyepo madarakani baada ya muda wake kwisha na kutoa sifa kemkem kwa RC kuwa ni mtu sahihi kwa nchi yetu hapo baadae.

Mgongano huu wa mawazo wa watu hawa maarufu je umetokea kwa bahati mbaya au ndo nyota njema huonekana asubuhi kwa RC wetu anyway lets wait and see.
 
Wana jamii nimetafakari hiki kitu nimeona sio vibaya kama tukashare mtazamo na wanazengo. Ndugu yetu mwandishi nguli humu ndani aliwahi kupost nyuzi moja kuhusu Mh. Mkuu wa Mkoa wa Dar Ndugu Paul Makonda kuwa anafaa ama anaweza kuja kuwa namba moja wa nchi yetu kwa siku za usoni baada ya huyu wa sasa kumaliza muda wake, alijaribu kudadavua sababu kedede sifa pamoja na mapungufu yake kwa mtazamo wake yeye na mwisho wa siku akasema anaweza amanafaa kuwa namba moja wetu.

Miezi, siku nyingi zimepita tangu atoe mawazo na mtazamo wake juu ya RC wa Dar sijui kama bado mpaka leo kama atakuwa amebadilisha au bado yupo na mtazamo wake ule ule, sababu mwenyewe yupo atakuja kutueleza.

Kama sijakosea mwaka na miezi kadhaa imepita tangu kaka yetu Mayala atoe mawazo yake. Majuzi tu hapa mkuu wa mkoa wa dar alikuwa na mazungumzo na viongozi wetu wa kiroho (Dini), hapa mkoani baada ya mazungumzo yale Askofu Mkuu Mstaafu Kardinal Pengo alinukuliwa akisema kuwa Ndugu RC Paul Makonda anafaa na ana uwezo wa kuja kumrithi Mh. Rais aliyepo madarakani baada ya muda wake kwisha na kutoa sifa kemkem kwa RC kuwa ni mtu sahihi kwa nchi yetu hapo baadae.

Mgongano huu wa mawazo wa watu hawa maarufu je umetokea kwa bahati mbaya au ndo nyota njema huonekana asubuhi kwa RC wetu anyway lets wait and see.
Hausigeli wangu nilimshauri ajiunge na CCM ili awe mwanamke wa kwanza kugombea urais na ni matumaini yangu atashinda kwa kishindo.
 
Back
Top Bottom