Wote uliowaongelea yaani pengo na huyo sijui pascal ni wachumia tumbo (walamba viatu). Mawazo yao siyo neutral either yanatokana au yanalenga kujipatia faida kutoka kwa wanayemsifia. Ni kama ulivyo uana harakati wa musiba au wa yule benson bana wa udsm. Hivyo hakuna haja ya kupoteza muda kuyafikilia sana, kwa ufupi mawazo ya hao watu wawili ni ya kupuuzwa.