je wajua mwisho wa dunia ni ile cku wewe mwenyewe (mimi mwenyewe) nakata roho! Hakuna tena maisha baada ya kufa kwako (kwangu),yule chief alitabiri mwisho wa dunia na kweli tuliona mwisho wa dunia akafa yeye.Hichi kitu ccm wanakipinga kwa nguvu zote, ila ni kweli alisema. Na video zake zenye ushahidi zimefutwa kwa nguvu zote mtandaoni.
Alishajitabiria kifo chake kwa kusema tarehe hiyo ndo mwisho wa dunia kumbe ndo mwisho wake yeye.
Mpaka sasa 75% ya utabiri wake umetimia.
R.i.p Chief
Ngoja atuchekeshe...Hichi kitu ccm wanakipinga kwa nguvu zote, ila ni kweli alisema. Na video zake zenye ushahidi zimefutwa kwa nguvu zote mtandaoni.
Alishajitabiria kifo chake kwa kusema tarehe hiyo ndo mwisho wa dunia kumbe ndo mwisho wake yeye.
Mpaka sasa 75% ya utabiri wake umetimia.
R.i.p Chief
Si kweliMkuu kwahiyo ni kweli aliongea hayo yote?
Huyu jamaa ana hoja msikilizeni sana!2011 acha uongo au typing error, yeye hakuwa Mungu aliona kwa uchache, kwa walioona muda mrefu walisema hao Marais baada ya Kikwete wataondoka kwa aina moja hakuna ambae atazidi miaka 7 madarakani,
Weka hii kumbukumbu hasa watokanao na CCM, sasa sijui ni vichekesho au kweli mimi na wewe hatujui.
Ndoto zackimweri hazikuwahi kudanganya,
Huu ndio ukweli halisi Mkuu!Kwahiyo tujiandae kuongozwa na rais nchimbi?
ni kweli alisema kuhusu ujio wa rais mwanamke ila sio ivo ulivosema wewe na ilikuwa kuelekea second term ya kikwete.Sheikh Yahya alisema!
"Baada ya vipindi viwili vya Rais Jakaya Kikwete atakuja Rais ambaye ni mweusi mchapakazi lakini mchekeshaji. Hata hivyo,ataongoza kwa kipindi kifupi tu hapo ndipo Tanzania itapata Rais mwanamke. Na baada ya hapo Upinzani utachukua nchi."
Sheikh Yahya alifariki 2021
NAOMBA LINKHuu utabiri ulipingwa na JamiiCheck
Unataka na video kabisa π πAlisema wapi? Maana hayo ni maneno umeandika wewe
kumaanisha kuwa...........................?kwa walioona muda mrefu walisema hao Marais baada ya Kikwete wataondoka kwa aina moja hakuna ambae atazidi miaka 7 madarakani,
Ina maana hujui mganga hajigangi?π€£Akatabiri halafu akafa, yeye mbona hakujitabiria π
Rejea Kwa Nini Lissu yupo hai mpaka Leo licha ya kupigwa Risasi za kutosha.Sheikh Yahya alisema!
"Baada ya vipindi viwili vya Rais Jakaya Kikwete atakuja Rais ambaye ni mweusi mchapakazi lakini mchekeshaji. Hata hivyo,ataongoza kwa kipindi kifupi tu hapo ndipo Tanzania itapata Rais mwanamke. Na baada ya hapo Upinzani utachukua nchi."
Sheikh Yahya alifariki 2021
Kwani ukisema chanel kumi unakosea au kudanganya?Weka ushahidi wa audio ao video maana alikuwa anatumia sana Channel fulani