Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lete uzi kamili bosi jamaniUna maoni gani
Alitabiri wapi? Mbona ni maneno ambayo hayana support evidenceUna maoni gani
Lissu for president 2025Ila kwa hii nchi yetu mpaka hapa ilipofikia, ni halali kabisa wapinzani na wenyewe kutawala.
mene mene tekeli na peresi FAM inabidi ayatafakari sana haya maneno. Na aangalie na upepo ulivyo badirika.Ni wakati wa TAL.. LISSU for president 2025View attachment 3185612
Waganga na manabii uchwara wataendelea kuwatabiria upuuzi na kuwapiga hela mpk akili ziwakae sawa 😀Una maoni gani
Rais wa Mix by YasLissu for president 2025View attachment 3185614
Hawa huwa wapo katika roho awe roho wa Nuru au roho wa giza, kama Mungu kaipanga hivyo linaweza kutimia kama ni roho giza kaipanga hivyo na halikushughulikiwa katika Nuru litatimia.Una maoni gani
Ukumbuke alitabiri kipindi cha JK, na yooote yakatimia sasa tusibiri lamli la mwishooooooooWaganga na manabii uchwara wataendelea kuwatabiria upuuzi na kuwapiga hela mpk akili ziwakae sawa 😀
Mungu ameweka Siri kubwa sana kwenye kufa ni wachache Sana wanaoweza kufunuliwa Sio kila mtu hata kama mtu huyo huwa anatoa Utabiri na unatimia.Mbona hakujua siku yake ya kufa