Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Yahaya unakaa wapi? Jina lako halisi nani? Yahaya weeeeeUna maoni gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yahaya unakaa wapi? Jina lako halisi nani? Yahaya weeeeeUna maoni gani
Ulitaka akujulishe? Kama alikuwa anajua kwahiyo akaamua kunyamazaMbona hakujua siku yake ya kufa
For chadema chairman 2025 to infinityNi wakati wa TAL.. LISSU for president 2025View attachment 3185612
alisema ni mwisho wa dunia akafa yeye! sijui aliona niniMbona hakujua siku yake ya kufa
Ulikuwa mwisho wa Dunia kwakealisema ni mwisho wa dunia akafa yeye! sijui aliona nini
Acha kupotosga ,hakusema mwisho wa dunia.alisema kuna yukio litatokea siku hyo ambayo alikufaalisema ni mwisho wa dunia akafa yeye! sijui aliona nini
Hilo umelinena ni kweli atatoka humo humo CCMNaongezea kwenye utabiri huo
Huyo mpinzani atakayechukua nchi kwa sasa bado yupo ndani ya CCM. Atakuja kutoka na atakuwa na influence kubwa kama ilivyokuwa kipindi cha Lowassa 2015. Tutulie tuombe uzima, yajayo yanafurahisha 😜😜
Sema upinzani wenyewe wa kuchukua nchi haupo imagine eti Rais wa Tz mbowe au lipumbaSheikh yahaya alisema hili.
Cintent nyingi za sheikh yahaya zimepotea na kufichwa kwa makusudi.
Mengi aliyoyatabiri yametokea.
Atatoka humo humo CCM, hao uliowataja mmm aendee tu bi mkubwa kama ni hivyoSema upinzani wenyewe wa kuchukua nchi haupo imagine eti Rais wa Tz mbowe au lipumba
Afrika tunawaamini sana wachawi,ndio maana tupo nyumaUkumbuke alitabiri kipindi cha JK, na yooote yakatimia sasa tusibiri lamli la mwishoooooooo
Tarehe ya kifo chake mashetani yalimpa wrong direction yakamwambia kuwa ni mwisho wa duniaMbona hakujua siku yake ya kufa
Hapana, 2025 huyo bibi hawezi kutawala.Iko hivi Upinzani Mwaka huu ujao hawatachukua Upinzani! Baada ya miaka 5 kuisha yaani mwaka 2030 ndio Upinzani Utachukua nchi Sio kwa uchaguzi ujao!
Jaribu kuyadadavua vizuri. Nina uhakika mwaka 2030 Upinzani wanachukua.
Ndivyo itakavyokuwaNaongezea kwenye utabiri huo
Huyo mpinzani atakayechukua nchi kwa sasa bado yupo ndani ya CCM. Atakuja kutoka na atakuwa na influence kubwa kama ilivyokuwa kipindi cha Lowassa 2015. Tutulie tuombe uzima, yajayo yanafurahisha 😜😜
Utabiri unataka ushahid ganiAlitabiri wapi? Mbona ni maneno ambayo hayana support evidence
MZee wa hiii hiiii bhagoshaUtabiri wa Sheikh Yahaya Hussein unaelekea kwenye utimilifu, baadhi ya aliyoyasema yameisha timia bado moja tu la Urais ambalo litafumbuliwa October 2025.
Sheikh Yahaya alitabiri kuwa baada ya kipindi cha utawala wa awamu ya nne atapatikana Rais mchekeshaji, mweusi atakayetawala kwa muda mfupi sana ... Baada yake Tanzania itapata Rais wa kwanza mwanamke. Hakuna ubishi kuwa Magufuli alikuwa Rais mchekeshaji wa muda mfupi....Utabiri ulitimia.
Sehemu ya mwisho ya utabiri wake ilikuwa; baada ya utawala wa Rais wa Tanzania mwenye jinsia ya kike upinzani utachukua Dola.