Utabiri wa Yahya upo mbioni kutimia?

Iko hivi Upinzani Mwaka huu ujao hawatachukua Upinzani! Baada ya miaka 5 kuisha yaani mwaka 2030 ndio Upinzani Utachukua nchi Sio kwa uchaguzi ujao!

Jaribu kuyadadavua vizuri. Nina uhakika mwaka 2030 Upinzani wanachukua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…