mlambaji asali
Senior Member
- Jan 30, 2023
- 150
- 505
Anaanzaje kuacha kufungwa??Chaliii chaliii wapinzani chali
Kesho asipofungwa nalala na wewe mpaka majogooo
Utabili wake upo humu utafute tu mkuuKisha utuambie na Real Bamako anashinda ngapi kesho kutwa
Waache tu ila wakumbuke kuimba kupokezanaWananchi nawaomba muwapumzishe Wanathiimba tafadhali sana [emoji847]
Nabii ulitaka kula sadaka za bure, ila Mungu wa kweli amekuumbua. Acha kuufuata ushirikina, utakufa mdomo wazi kama AziziKwa hjcho langu la kimpira naona kabisa Vipers anashinda ila sio goli zaid ya mbili.
Vipers 2-0 Simba. Je Simba atapigwa ngapi ? Tupia ubashiri wako