Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Hivi Mamelodi mnawaona kama wametoka JupiterViburi vyote vitatuisha kesho, huo sio utabiri, ni uhakika.Am not Mugo wa Kihiri in Kusadikika, someone who could predict what is will happen in the future.
Am sure [emoji817] draw kesho ni hiyo.
Watadai kaisha baada ya kufungwa na yangaHivi Mamelodi mnawaona kama wametoka Jupiter
Umeshindwa hata kutoa credit kwa uliko copy na ku paste hapa. Hii umechukua kwa Micky JnrViburi vyote vitatuisha kesho, huo sio utabiri, ni uhakika.Am not Mugo wa Kihiri in Kusadikika, someone who could predict what is will happen in the future.
Am sure [emoji817] draw kesho ni hiyo.
Kwa hiyo huyo Mamelodi wenu ndiye mnaye mtegemea kuwafuta machozi baada ya kile kipigo kitakatifu cha Novemba 2023, au!!Viburi vyote vitatuisha kesho, huo sio utabiri, ni uhakika.Am not Mugo wa Kihiri in Kusadikika, someone who could predict what is will happen in the future.
Am sure π― draw kesho ni hiyo.
Umeshindwa hata kutoa credit kwa uliko copy na ku paste hapa. Hii umechukua kwa Micky Jnr
Nimekuona unecomment kule kwa mickyjr. Kumbe wewe ndio...............ππππππ π€£Umeshindwa hata kutoa credit kwa uliko copy na ku paste hapa. Hii umechukua kwa Micky Jnr
Jamaa wanamuamini kweli kweliAnaweza akawa ndio huyohuyo, maana wanafanana akili
sawa ila ktk timu zote hapo robo fainali hakuna timu ambayo simba inaweza toboaViburi vyote vitatuisha kesho, huo sio utabiri, ni uhakika.Am not Mugo wa Kihiri in Kusadikika, someone who could predict what is will happen in the future.
Am sure π― draw kesho ni hiyo.
Swadakta manake wanataka kututishatisha sana hawa mbumbumbu..Yeyote anayepita mbele yetu, sisi wananchi tunashughulika nae