Utabiri Wangu: Bingwa wa Ligi ya NBC 2023/24 ni Azam FC

Azam kocha wanae mbona
 
Hatakuwa bingwa kwa sababu
1. Atakuwa na kikosi kidogo
2. Bado kuna wasaliti na wababaishaji
3. Atapambana kujitutumua kimataifa amalize nguvu zake huko
4. Idaadi ya magoli na points walizomzidi Simba na Yanga ni kubwa
5. Kocha na benchi la ufundi ni jipya
6. Atafanyiwa fitna na ndugu wa kariakoo ambazo hajawi ona.
N.B: Ajikite na kupunguza gepu ili ajaribu 2024/2025
 
Sisi kazi yetu ni kuquote na panapo majaaliwa ya uzima na afya, tuurejelee huu uzi mwaka kesho...
Mwaka kesho mbali huko kote? tumpe tu mzunguko wa kwanza ukiisha aje atwambie hicho kitimu chake kipo nafac ya ngape!
 
Ina maana Simba ndo tusibebe kwa miaka 3?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…