Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza kujichekesha wewe ni mtoto wa kiume usisahau hiloNasubiri kuwacheka timu fulani hivi
Au basi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
BAHLABANE BA NTWA
Vice versa is trueTimu zitakazochukua ubingwa mashindano ya CAF 2023
1. CAF confederation cup USM ALGER Bingwa atamfunga YANGA fainali.
2. CAF champions league AL AHLY Bingwa atamfunga MAMELODI fainali.
Rudi kwenye uzi wako wa utabiri wa timu za makundi. Si ulitabiri Yanga haitofuzu makundi wewe? Halafu kundi la Simba ukatabiri timu tatu zitafuzu makundi (Simba, Horoya na Raja zote zitafuzu)na kwenye ule uzi umeenda chaka na huku unataka kutupeleka chaka tenaTimu zitakazochukua ubingwa mashindano ya CAF 2023
1. CAF confederation cup USM ALGER Bingwa atamfunga YANGA fainali.
2. CAF champions league AL AHLY Bingwa atamfunga MAMELODI fainali.
Hukuelewa vizuri kule nilitabiri timu zitakazofuzu ligi ya mabingwa Africa na sio shirikisho AfrikaRudi kwenye uzi wako wa utabiri wa timu za makundi. Si ulitabiri Yanga haitofuzu makundi wewe? Halafu kundi la Simba ukatabiri timu tatu zitafuzu makundi (Simba, Horoya na Raja zote zitafuzu)na kwenye ule uzi umeenda chaka na huku unataka kutupeleka chaka tena
Natabiri timu zitakazofika Makundi kwenye ligi ya mabingwa Africa
1.Al Ahly 2.Wydad Casablanca 3.Esperance de Tunis 4.Raja Casablanca 5.Mamelodi Sundowns 6.TP Mazembe 7.Zamalek 8.Horoya 9.Petro de Luanda 10.Simba 11.CR Belouizdad 12.JS kabylie 13.Al Hilal 14.As Vita Club 15.Al-Ahli Tripoli 16.Coton Sportwww.jamiiforums.com
Inabidi abeti nyumba yake huyu bwanaRudi kwenye uzi wako wa utabiri wa timu za makundi. Si ulitabiri Yanga haitofuzu makundi wewe? Halafu kundi la Simba ukatabiri timu tatu zitafuzu makundi (Simba, Horoya na Raja zote zitafuzu)na kwenye ule uzi umeenda chaka na huku unataka kutupeleka chaka tena
Natabiri timu zitakazofika Makundi kwenye ligi ya mabingwa Africa
1.Al Ahly 2.Wydad Casablanca 3.Esperance de Tunis 4.Raja Casablanca 5.Mamelodi Sundowns 6.TP Mazembe 7.Zamalek 8.Horoya 9.Petro de Luanda 10.Simba 11.CR Belouizdad 12.JS kabylie 13.Al Hilal 14.As Vita Club 15.Al-Ahli Tripoli 16.Coton Sportwww.jamiiforums.com
Kwahiyo Tp Mazembe alifuzu?Hukuelewa vizuri kule nilitabiri timu zitakazofuzu ligi ya mabingwa Africa na sio shirikisho Afrika
CAF Champions MamelodiTimu zitakazochukua ubingwa mashindano ya CAF 2023
1. CAF confederation cup USM ALGER Bingwa atamfunga YANGA fainali.
2. CAF champions league AL AHLY Bingwa atamfunga MAMELODI fainali.
Una kitu utafika mbali kiongoziCAF Champions Mamelodi
CAF CC Young Africans
Yaani msimu huu mwarabu halambi kitu?CAF Champions Mamelodi
CAF CC Young Africans
I wish iwe hivyo maana tumewachoka WaarabuYaani msimu huu mwarabu halambi kitu?
Nahisi hata wao wametuchoka, kila siku sisi magiza hatutoi changamoto kwaoI wish iwe hivyo maana tumewachoka Waarabu
Naona umempokea kijiti dada yako cocastic! Muda wote ni kuchekacheka tu. Sijui unaelekea wapi ukiwa kama kijana mdogo wa kiume.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mfa maji tu wewe. Huwezi kuacha kutapatapa.Hukuelewa vizuri kule nilitabiri timu zitakazofuzu ligi ya mabingwa Africa na sio shirikisho Afrika
Timu zitakazochukua ubingwa mashindano ya CAF 2023
1. CAF confederation cup USM ALGER Bingwa atamfunga YANGA fainali.
2. CAF champions league AL AHLY Bingwa atamfunga MAMELODI fainali.