lugabussa
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 557
- 523
Mmmh Ngoja tuone hatua inayokujaMsomi huu wamejipanga vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh Ngoja tuone hatua inayokujaMsomi huu wamejipanga vizuri
West ham ni dustbinWewe ni takataka.
Kwani ni lazima kuzitaja mkuu?Mbona hutaji watakaoingia?
Mtoa mada hajielewi bora angesema mmoja wapo kuwa bingwaMkuu, utabiri wako ni kuwa mmojawapo wa hao wawili anaweza kuwa bingwa. Kama ratiba ya mtowano na mpaka fainali imetoka, ingeweza kuwa sawa. Lakini, wanaweza kukutanishwa mapema kabla ya kufika fainali. Hivyo, fainali wasikutane.
Wewe unaejielewa mbona huzitaji hizo timu zako?Mtoa mada hajielewi bora angesema mmoja wapo kuwa bingwa
Ntazitaja vipi wakati sizijui?Wewe unaejielewa mbona huzitaji hizo timu zako?
Sasa usiwe popoma wa kuponda tuliozitaja kwa sababu tunazijua.Ntazitaja vipi wakati sizijui?
Ndio maana ukaambiwa ikitokea wamekutana robo au nusu itakuwaje?Sasa usiwe popoma wa kuponda tuliozitaja kwa sababu tunazijua.
Hawakutani ndio maana ya utabiriNdio maana ukaambiwa ikitokea wamekutana robo au nusu itakuwaje?
Unawajua Ajax au unawasikia?Ajax atafika mbari ila sio fainal
Atakipiga final na Bayern Muchen au RMChelsea bigwa