Utabiri wangu katika mchezo wa leo wa Yanga vs Marumo Kombe la Shirikisho

DullyJr

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2011
Posts
13,983
Reaction score
11,857
Hayawi hayawi yamekuwa ,


Leo ni siku nyingine tena tunakutana kuangalia mchezo wa papatupapatu kati ya UTO na Malumo,
Leo utopolo watapata matokeo yatakayowashangaza ,ambayo hawajawahi kufikiria ikizingatiwa wapinzani wao ni timu inayopambana kushuka daraja ...

YANGA 2 MALUMO 4 on aggregate



 
Dua la kuku alimpati mwewe.....Marumo watapigwa kama ngoma ,mandonga mtu kazi.
 
Baada ya dakika 90 za mchezo, ubakie hapa hapa. Usikimbie.
 
Utopolo ni tundu la mama yako mzazi
 
Kolokolo wewe!
 
Mbumbumbu at work🤔🤔🤔
 
Kuku wewe, haya shangilia hao malumo wako
 
Wewe ni mbwa tena mbwa koko,ukitishwa kama mtu anaokota make unaingiza mkia matakoni
 
Wewe ni kati ya wale mashabiki ambao waliitwa mbumbumbu na mwenyekiti wenu mstaafu.

Nilikutahadharisha mapema usikimbie huu uzi wako. Njoo hapa sasa ujione namna ulivyo mbumbumbu.
 
mkuu futa uzi wako[emoji28][emoji23][emoji23][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…