Utabiri wangu kuhusu Mkeka wa Baraza la Mawaziri!

Utabiri wangu kuhusu Mkeka wa Baraza la Mawaziri!

Econometrician

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2013
Posts
16,879
Reaction score
31,253
Nionanvyo mie Mawaziri wafuatao kuna uwezekano wa kutokuwepo kwenye Baraza la Mawaziri.
1.Prof.Palamagamba John Idani Mwaluko Kabudi-Waziri wa Sheria.
2.Prof.Aldof Mkenda-Waziri wa Kilimo
3.Dr.Dotto Biteko-Waziri wa Madini
4. George Mkuchika


Nb.
1.Dr.Ashatu Kijaji Waziri wa habari,anaweza kuhamishiwa Wizara Mpya ya Maendeleo ya Jamii
2.Nnape atapewa Wizara ya habari tena.
3.kutakuwa na igizo jipya la Waziri kutoka uwanda wa akina ngosha
4.Kutakuwa na igizo jipya la Waziri kutoka Mkoa wa Mara-hapa kuna uwezekano Makongoro Nyerere akateuliwa na kupewa Wizara ya Jaffo.
5.Kutakuwa na igizo jipya kutoka kwa sana chugga.
 
Nionanvyo mie Mawaziri wafuatao kuna uwezekano wa kutokuwepo kwenye Baraza la Mawaziri.
1.Prof.Palamagamba John Idani Mwaluko Kabudi-Waziri wa Sheria.
2.Prof.Aldof Mkenda-Waziri wa Kilimo
3.Dr.Dotto Biteko-Waziri wa Madeni
4. George Mkuchika


Nb.
1.Dr.Ashatu Kijaji Waziri wa habari,anaweza kuhamishiwa Wizara Mpya ya Maendeleo ya Jamii
2.Nnape atapewa Wizara ya habari tena.
3.kutakuwa na igizo jipya la Waziri kutoka uwanda wa akina ngosha
4.Kutakuwa na igizo jipya la Waziri kutoka Mkoa wa Mara-hapa kuna uwezekano Makongoro Nyerere akateuliwa na kupewa Wizara ya Jaffo.
Huyo mzee mkuchika unamjua vzur mkuu?

Huyo haguswag...wanaomfaham vzur watakwambia..ndomana anapewa wizara flan flan hiv zisizo na kaz maalum..

Huyo mwache kama alivyo...toa wengne...
 
Nionanvyo mie Mawaziri wafuatao kuna uwezekano wa kutokuwepo kwenye Baraza la Mawaziri.
1.Prof.Palamagamba John Idani Mwaluko Kabudi-Waziri wa Sheria.
2.Prof.Aldof Mkenda-Waziri wa Kilimo
3.Dr.Dotto Biteko-Waziri wa Madeni
4. George Mkuchika


Nb.
1.Dr.Ashatu Kijaji Waziri wa habari,anaweza kuhamishiwa Wizara Mpya ya Maendeleo ya Jamii
2.Nnape atapewa Wizara ya habari tena.
3.kutakuwa na igizo jipya la Waziri kutoka uwanda wa akina ngosha
4.Kutakuwa na igizo jipya la Waziri kutoka Mkoa wa Mara-hapa kuna uwezekano Makongoro Nyerere akateuliwa na kupewa Wizara ya Jaffo.
Katelefoni anaweza akapumzishwa
 
Nionanvyo mie Mawaziri wafuatao kuna uwezekano wa kutokuwepo kwenye Baraza la Mawaziri.
1.Prof.Palamagamba John Idani Mwaluko Kabudi-Waziri wa Sheria.
2.Prof.Aldof Mkenda-Waziri wa Kilimo
3.Dr.Dotto Biteko-Waziri wa Madeni
4. George Mkuchika


Nb.
1.Dr.Ashatu Kijaji Waziri wa habari,anaweza kuhamishiwa Wizara Mpya ya Maendeleo ya Jamii
2.Nnape atapewa Wizara ya habari tena.
3.kutakuwa na igizo jipya la Waziri kutoka uwanda wa akina ngosha
4.Kutakuwa na igizo jipya la Waziri kutoka Mkoa wa Mara-hapa kuna uwezekano Makongoro Nyerere akateuliwa na kupewa Wizara ya Jaffo.
5.Kutakuwa na igizo jipya kutoka kwa sana chugga.
Acha kuota
 
Madelu hatoki kwenye uwaziri.
"Mwanangu Madelu alinipigia simu usiku"
 
Mama anaendelea kuchemka awe mvumilivu atatue migogoro ndani ya chama ama sivo shauri yake chama kitamfia
 
Mkenda sidhani kama ana nafasi tena [ ile NONSENSE ni ishara tosha] arudi Rombo, akajifunze siasa kuwa kupanda lazima kuna watu umekanyaga mabega yao ndio kufika huko; ukisahau hilo ukafikiri huko umefika peke yako hatima yako ndio hiyo lazima utatemwa!! Amejisahau na huo uprofesa!!!
 
Nionanvyo mie Mawaziri wafuatao kuna uwezekano wa kutokuwepo kwenye Baraza la Mawaziri.
1.Prof.Palamagamba John Idani Mwaluko Kabudi-Waziri wa Sheria.
2.Prof.Aldof Mkenda-Waziri wa Kilimo
3.Dr.Dotto Biteko-Waziri wa Madeni
4. George Mkuchika


Nb.
1.Dr.Ashatu Kijaji Waziri wa habari,anaweza kuhamishiwa Wizara Mpya ya Maendeleo ya Jamii
2.Nnape atapewa Wizara ya habari tena.
3.kutakuwa na igizo jipya la Waziri kutoka uwanda wa akina ngosha
4.Kutakuwa na igizo jipya la Waziri kutoka Mkoa wa Mara-hapa kuna uwezekano Makongoro Nyerere akateuliwa na kupewa Wizara ya Jaffo.
5.Kutakuwa na igizo jipya kutoka kwa sana chugga.
Waziri mkuu ajae ni mh lukuvi
 
Nionanvyo mie Mawaziri wafuatao kuna uwezekano wa kutokuwepo kwenye Baraza la Mawaziri.
1.Prof.Palamagamba John Idani Mwaluko Kabudi-Waziri wa Sheria.
2.Prof.Aldof Mkenda-Waziri wa Kilimo
3.Dr.Dotto Biteko-Waziri wa Madeni
4. George Mkuchika


Nb.
1.Dr.Ashatu Kijaji Waziri wa habari,anaweza kuhamishiwa Wizara Mpya ya Maendeleo ya Jamii
2.Nnape atapewa Wizara ya habari tena.
3.kutakuwa na igizo jipya la Waziri kutoka uwanda wa akina ngosha
4.Kutakuwa na igizo jipya la Waziri kutoka Mkoa wa Mara-hapa kuna uwezekano Makongoro Nyerere akateuliwa na kupewa Wizara ya Jaffo.
5.Kutakuwa na igizo jipya kutoka kwa sana chugga.
Utabidi wako ni fake

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 
Masauni anaweza mpokea Nchemba kijiti,ili akajiandae vizuri.
 
Back
Top Bottom