Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Nionanvyo mie Mawaziri wafuatao kuna uwezekano wa kutokuwepo kwenye Baraza la Mawaziri.
1.Prof.Palamagamba John Idani Mwaluko Kabudi-Waziri wa Sheria.
2.Prof.Aldof Mkenda-Waziri wa Kilimo
3.Dr.Dotto Biteko-Waziri wa Madini
4. George Mkuchika
Nb.
1.Dr.Ashatu Kijaji Waziri wa habari,anaweza kuhamishiwa Wizara Mpya ya Maendeleo ya Jamii
2.Nnape atapewa Wizara ya habari tena.
3.kutakuwa na igizo jipya la Waziri kutoka uwanda wa akina ngosha
4.Kutakuwa na igizo jipya la Waziri kutoka Mkoa wa Mara-hapa kuna uwezekano Makongoro Nyerere akateuliwa na kupewa Wizara ya Jaffo.
5.Kutakuwa na igizo jipya kutoka kwa sana chugga.
1.Prof.Palamagamba John Idani Mwaluko Kabudi-Waziri wa Sheria.
2.Prof.Aldof Mkenda-Waziri wa Kilimo
3.Dr.Dotto Biteko-Waziri wa Madini
4. George Mkuchika
Nb.
1.Dr.Ashatu Kijaji Waziri wa habari,anaweza kuhamishiwa Wizara Mpya ya Maendeleo ya Jamii
2.Nnape atapewa Wizara ya habari tena.
3.kutakuwa na igizo jipya la Waziri kutoka uwanda wa akina ngosha
4.Kutakuwa na igizo jipya la Waziri kutoka Mkoa wa Mara-hapa kuna uwezekano Makongoro Nyerere akateuliwa na kupewa Wizara ya Jaffo.
5.Kutakuwa na igizo jipya kutoka kwa sana chugga.