Kwanza Huyu sio kikwete Wala mzee mnaraDuuh
Yanga hatujipi Moyo, Uwekezaji na usajili wa kisayansi ndio unao tufanya tutembee kifua mbele. Kama wewe unahasira juu ya Yanga, tunza hasirazako tukutane tarehe 23. Kwasasa tunakwenda ku mpasua mwarabu wa mchongo, Haina mjadala.Yanga mnajipa moyo sana
Sasa mgosi ulitaka tujipe mapafu, au bandama?Yanga mnajipa moyo sana
Hyo trh 23 mtaaaibika sanaaaaa nadhani ndo utakua muda muafaka wa kuja kwa wababe wenu Simba kuomba ushauri jinsi ya kuwa multpurpose yani unapiga kimataifa na ndani unawachakaza.Yanga hatujipi Moyo, UUwekezaji na usajili wa kisayansi ndio unao tufanya tutembee kifua mbele. Kama wewe unahasira juu ya Yanga, tunza hasirazako tukutane tarehe 23. Kwasasa tunakwenda ku mpasua mwarabu wa mchongo, Haina mjadala.
Nikusaidie tu iko hivi Al Hilal Vs Yanga hii mechi itaisha Al hilal akiwa mshindi wa goli Mbili au zaidi.Mwaka huu mwezi wa 8 tariki 2 nilipost uzi uku jf Nikasema yanga kimataifa atafanya vizuri zaidi ya simba yaani atafika mbali saana zaidi ya simba
Na ushindi wa yanga utakuwa unapatikana zaidi ugenini nyumbani watakuwa wanafanya vibaya wakifika ugenini moto ndo una waka
Acha sasa tuone kitakacho tokea al hilal View attachment 2386218
Na amini sijawahi kudanganya kitu mimi nikiota tu kitu ni lazima kitokee
Acha tuone game itakuwaje
Ndoto ya mwendawazimuMwaka huu mwezi wa 8 tariki 2 nilipost uzi uku jf Nikasema yanga kimataifa atafanya vizuri zaidi ya simba yaani atafika mbali saana zaidi ya simba
Na ushindi wa yanga utakuwa unapatikana zaidi ugenini nyumbani watakuwa wanafanya vibaya wakifika ugenini moto ndo una waka
Acha sasa tuone kitakacho tokea al hilal View attachment 2386218
Na amini sijawahi kudanganya kitu mimi nikiota tu kitu ni lazima kitokee
Acha tuone game itakuwaje
Tayari umesha panicSasa mgosi ulitaka tujipe mapafu, au bandama?
Kwa Simba ipi ya kuifunga yanga!?Hyo trh 23 mtaaaibika sanaaaaa nadhani ndo utakua muda muafaka wa kuja kwa wababe wenu Simba kuomba ushauri jinsi ya kuwa multpurpose yani unapiga kimataifa na ndani unawachakaza.