Utabiri wangu kuhusu Yanga ndiyo unaenda kutimia sasa

Utabiri wangu kuhusu Yanga ndiyo unaenda kutimia sasa

Mnakwenda kukutana na ndoige huko sudan..mkigeuka kushoto mnao mkienda kulia mnao
 
Mwaka huu mwezi wa 8 tariki 2 nilipost uzi huku JF nikasema Yanga kimataifa atafanya vizuri zaidi ya Simba yaani atafika mbali sana zaidi ya Simba.

Na ushindi wa Yanga utakuwa unapatikana zaidi ugenini, nyumbani watakuwa wanafanya vibaya wakifika ugenini moto ndiyo unawaka. Acha sasa tuone kitakachotokea Al Hilal.

View attachment 2386218

Naamini sijawahi kudanganya kitu, mimi nikiota tu kitu ni lazima kitokee. Acha tuone game itakuwaje.
Acha hizo bhana, mbona ulipoota unabakwa haujabakwa mpaka leo? Au bado unasubiri ndoto yako itimie. Hii ikitimia bas na ya Uto itatamia. Those are just wishes...
 
Back
Top Bottom