Utabiri wangu mechi ya Simba na Yanga, tarehe 8 Machi

Utabiri wangu mechi ya Simba na Yanga, tarehe 8 Machi

Alitabiri kama shabiki wa Simba. Washukuru kupigwa kimoko
 
YANGA ANAWEZA KUSHINDA HII MECHI AMA DRW ...
WEKA NA WAKO ...
MOAKA.SASA.KAMATI YA UFUNDI.SIMBA INAPAMBANA KUONA.MVUA.INANYESHA ELSE HALI ITAKUWA TETE KWA SIMBA
WACHEZAJI HAWA WANAWEZA KUFUNGA MAGOLI
YANGA
MORRISON
TSHISYSHIMBI
NCHIMBI
MOLINGA
NAONA PENALLTY SIJAJUA UPANDE GANI
WAFUNGAJI SIMBA
DEO.K
SHIHATA..
KAMA N PENALTY ITATOKEA BASI KAGERE NDIO ATAFUNGA ELSE HATOFUNGA KABISA
MASHABIKI WA YANGA MUWE NA AMANI MPAKA SASA DRW NDIO WANATAFUTA SIMBA ELSE NW MNYUKOO




WAZEE WA KUBET ANGALIKO HIVI
KAMA ULIONAA HIIIII POLENI SANA WANA SIMBAA WENGINE NUSU SAA NZIMA TUMEVALISHA KANGA PUMBU ZETU MVUA ISINYESHE
 
NAPITA TU POLENI MLIOINGIA CHAKA
Screenshot_20200308-224224.png
 
Mkuu mshanajr itoshee tu kukuambia kuwa Mpira siyo ramuli.

Tunaojua mpira na maana ya Derby hatuwezi leta Mambo ya ndoto za mchana kwenye Derby game.
Mshana jr.

Nilikupa tahadhali lakini ukaendelea kuamini katika Ramuli zako.. ona Sasa umeumbuka mchana kweupe na utabiri wako. Uwe unasikia ya wajuzi wa soka.
 
Mr Tyang muda ni hakimu mzuri.. Tusiutangulie muda kutoa hukumu

Jr[emoji769]
Vipi mkuu kuhusu maono na ndoto yako umefikia hatua gani.

Muwe mnaacha kuleta Mambo ya Ramuli na Imani za Ulozi kwenye Mpira Tena Mechi ngumu kama Derby match.
 
ma concern
sitarajii. Kuonaa lawamaa kilichokuwepo HAPAN nnutabiri MSHANA JR achezi uwanjani tupunguze jazbaaa Morrison asifanye undugu wetu usiendeleee Moira n upendooo na furahaaa wewe SIMBA inakuuuuma vaa jezi ya Yanga
Alisikikaa mbelee shabiki WA Yanga...
 
Tarot imeshamaliza.. Simba bingwa kwa bao 4 bila ama 2

Jr[emoji769]
HAPA NDIPO ULIILAZA NJAA SIMBAA WAZEE WAKAISHIA KULIWA HELAA SIJAKWAMBIA WAZEE WA MORO WAMEONDOKA NA SH NGAPI
Screenshot_20200308-232949.png
 
Back
Top Bottom