Utabiri wangu mechi ya Simba na Yanga, tarehe 8 Machi

Kuwa mpole tarehe 8 sio mbali
Mahaba na 5imba ndio yamefanya aanzishe huu uzi.

Derby hazitabirikagi kirahisi namna hii. Hapa Mganga kaingia chaka.

Jr[emoji769]
 
ndugu yabgu mi ni kama wewe hatuamini katika ndoto za usiku kwenye mpira wala uchawi, tunaamini mpira ni dka 90, sasa mshana anajua Yule Chizi wetu alisema tukifungua mdomo unaweza ukatuponza tarehe 8...mi ntaongea baada ya mechi.
Mtani naona hutaki kujifunga. [emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]mimi sihitaji kubet nikitaka pesa napata tuu
Kama unajiamin beti sasa uone utakavolala na viatu pamoja na uchawi wako.Hahahaha

Jr[emoji769]
 
Umeonaeee!! Dkk 90 ndo mwamuzi na mechi ka hizi huwa zinaishia kwa sare tu au ushindi mwembamba kwa mmoja wapo.

Mi jumatatu alfajir nitakuwa hewani kufukua makaburi ya nyuzi ka hizi Mtani. 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…