Utabiri wangu mechi ya Simba na Yanga, tarehe 8 Machi

Mkuu mshanajr itoshee tu kukuambia kuwa Mpira siyo ramuli.

Tunaojua mpira na maana ya Derby hatuwezi leta Mambo ya ndoto za mchana kwenye Derby game.
 
Mr Tyang muda ni hakimu mzuri.. Tusiutangulie muda kutoa hukumu
Mkuu mshanajr itoshee tu kukuambia kuwa Mpira siyo ramuli.

Tunaojua mpira na maana ya Derby hatuwezi leta Mambo ya ndoto za mchana kwenye Derby game.

Jr[emoji769]
 
Mshana Hawa wote unaowaona wana mawazo negative juu ya utabiri wako ndo Yanga hao binafsi natembelea utanibiri wako nataka kuweka mke ,watoto na kile kmchepuko kwenye hii game.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba maono yako yawe kweli maana Ndala wakitupiga tutaambia nini watu asee.
Yatatimia inshallah hata kwa pungufu ya goli moja lakini vyovyote vile iwavyo SHIMBA atakula nyama choma

Jr[emoji769]
 
Mimi sijakwazika sababu sina interest na mpira wa Tanzania ila nmeshangazwa na utabiri wako wa kishabiki
bullar ukiachana na utabiri nami ni binadamu mwenye hisia kama wengine.. Hapa nilichokuwa najaribu kufanya ni kuchagiza utabiri... My apology kama nimekukwaza... Hii ni michezo tuu

Jr[emoji769]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…