Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Kwa Mechi ya Jana ya Azam na Simba, utabiri huu umekamilika Kwa asilimia 80.
Kama Azam amemchapa Yanga goli Moja Kwa [emoji83]
Simba kamchapa Azam ambaye ni mbabe wa Yanga 3-2
Hapa Kwa Hitimisho la Kimantiki,
Yaani Logical Conclusion.
Bila hata kuhusisha nguvu za Unajimu.
Kwa kiwango cha chini kabisa,
Simba atamfunga Yanga goli 2-0
Yaani Azam kamfunga yanga goli 1+ magoli ya Simba aliyomchapa Azam ambayo ni 3.
1+3 =4
4- 2 ambazo ni goli za Azam kamfunga Simba = 2.Goli atakazo fungwa Yanga na Simba kwa kiwango cha chini.
Hivyo matokeo ya kiwango cha chini ni 2-0, 3-1, 4-2.nk
In favour of Simba SC.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Azam amemchapa Yanga goli Moja Kwa [emoji83]
Simba kamchapa Azam ambaye ni mbabe wa Yanga 3-2
Hapa Kwa Hitimisho la Kimantiki,
Yaani Logical Conclusion.
Bila hata kuhusisha nguvu za Unajimu.
Kwa kiwango cha chini kabisa,
Simba atamfunga Yanga goli 2-0
Yaani Azam kamfunga yanga goli 1+ magoli ya Simba aliyomchapa Azam ambayo ni 3.
1+3 =4
4- 2 ambazo ni goli za Azam kamfunga Simba = 2.Goli atakazo fungwa Yanga na Simba kwa kiwango cha chini.
Hivyo matokeo ya kiwango cha chini ni 2-0, 3-1, 4-2.nk
In favour of Simba SC.
Sent using Jamii Forums mobile app