Utabiri wangu mechi ya Simba na Yanga, tarehe 8 Machi

Utabiri wangu mechi ya Simba na Yanga, tarehe 8 Machi

.
Hii ndio ile hesabu ya kilimo cha Matikiti [emoji525] [emoji525] [emoji525] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
IMG-20200306-WA0014.jpeg


Jr[emoji769]
 
Kuna tukio kubwa saana litatokea uwanjani Tena narudia Tena Kuna tukio kubwa Sana litatokea na linawezekana likahusisha na kifo kabisa.

Kuna matokeo magumu Sana hayato aminika siku hyo na Kuna boss mmoja atatoa kauli tata sana

kilicho akilini kitumie
 
Back
Top Bottom