Utabiri wangu Papa ajaye atatokea Afrika

Utabiri wangu Papa ajaye atatokea Afrika

CONCLAVE ni mkutano wa Cadrinali wa Roman Catholic kote duniani ambao hukutana VATICAN city katika kanisa la st cecilia bathlica kwa ajili ya kumchagua papa, wajumbe wa mkutano huo wote huwa ni wagombea wa cheo hicho cha pope. hapa bongo atakaehudhuria mkutano huo ni cadrinali LUGAMBWA askofu mkuu wa jimbo kuu la Tabora
 
CONCLAVE ni mkutano wa Cadrinali wa Roman Catholic kote duniani ambao hukutana VATICAN city katika kanisa la st cecilia bathlica kwa ajili ya kumchagua papa, wajumbe wa mkutano huo wote huwa ni wagombea wa cheo hicho cha pope. hapa bongo atakaehudhuria mkutano huo ni cadrinali LUGAMBWA askofu mkuu wa jimbo kuu la Tabora
Basi tuna nafasi ya kupokea hicho kijiti na sisi
 
Sidhani kama makadinali wahafidhina watafurahia.

Nilisikia, kwasababu tu alitokea America ya kusini, hao makadinali kutoka ulaya walisusuwa wakiwa kwenye conclave.

Hata hivyo itakuwa ni vizuri, kuona papa akitokea Africa, kwani Wakatoliki wengi by population, wanatoka mabara ya Africa na America ya kusini.

Mwafrica kuwa papa Itaakisi uhalisia wa waumini wa Kikatoliki.
 
1000030529.png
 
Mnahangaika na tamaduni za watu mpk leo utumwa umewakaa vichwani hapa limenitoka tusi zito wacha nisiliandike hapa tu!
 
Natabiri Papa ajae atatokea Afrika na sasa ni zamu yetu na sisi waafrika kuwa na Papa
🙏
Si leo wala kesho bara la Afrika litaweza kutoa Papa. Hili hilo liwezekane kwanza inatakiwa bara la waafrika lipate makardinali wengi, walau 1/3 ya markadinali wapiga kura.
Cardinals Pengo na Rugambwa wote watahudhuria conclave ijayo, isipokuwa Pengo hana haki ya kupiga kura sababu amezidi umri wa miaka 80! Kwa sasa pengo ana miaka 81 ya kuzaliwa!
Hizi nchi zetu zinaitwa nchi za misioni maana yake ni nchi changa katika kuupokea ukristu. Kanisa katoliki haliendeshwi kwa maji, nchi ambazo Papa hutokea huchangia pakubwa katika bajeti ya Vatican!
 
Back
Top Bottom