geofreyngaga
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 658
- 946
Umeona upepo ulivyo?!Jana nilimwambia mke wangu Yanga atashinda 3- 1 dhidi ya Al hilal now its 1-1 and the game is still on.
Japo mimi Simba but kwny int. games navaa uzalendo no matter what!!!
nimeona mkuu ndio maana nika andika niliyo andika kwa ujasili mkuuUmeona upepo ulivyo?!
Hadi hapo ni sawa na kusema Al Hilal wana goli mbili..faida ya goli la ugenininimeona mkuu ndio maana nika andika niliyo andika kwa ujasili mkuu
awa ndugu zetu kwenye mechi za kimataifa sijui uwa wanaona nini uwanjani!!!Hadi hapo ni sawa na kusema Al Hilal wana goli mbili..faida ya goli la ugenini