Utabiri wangu unaelekea kwenye utimilifu

Utabiri wangu unaelekea kwenye utimilifu

geofreyngaga

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2014
Posts
658
Reaction score
946
Jana nilimwambia mke wangu Yanga atashinda 3- 1 dhidi ya Al hilal sasa ni 1-1 na mchezo bado unaendelea.

Japo mimi Simba lakini kwnye michezo ya kimataifa navaa uzalendo haijalishi nini!
 
Jana nilimwambia mke wangu Yanga atashinda 3- 1 dhidi ya Al hilal now its 1-1 and the game is still on.
Japo mimi Simba but kwny int. games navaa uzalendo no matter what!!!
Umeona upepo ulivyo?!
 
Hadi hapo ni sawa na kusema Al Hilal wana goli mbili..faida ya goli la ugenini
awa ndugu zetu kwenye mechi za kimataifa sijui uwa wanaona nini uwanjani!!!
Anyway, watapindua meza
 
Mgemsikiliza huyu jamaa


JamiiForums



Kwa dua kali na ya aina yake iliyofanywa Al Hilal asubuhi hii, wakifungwa nawapa hawara yangu mhangaike naye​

1 of 2Next Last
Jump to newWatch
•••
[IMG alt="GENTAMYCINE"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/156/156632.jpg?1633943503[/IMG]

GENTAMYCINE

JF-Expert Member​

Paka Saba (7) wamekufa kwa kitabu tu, halafu kuna mahala nimeona refa wa mchezo naye kashika filimbi na anaipa dole la furaha na kicheko Klabu ya Al Hilal.

Ewe Mungu saidia Al Hilal ishinde!
 
Back
Top Bottom