geofreyngaga
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 658
- 946
Jana nilimwambia mke wangu Yanga atashinda 3- 1 dhidi ya Al hilal sasa ni 1-1 na mchezo bado unaendelea.
Japo mimi Simba lakini kwnye michezo ya kimataifa navaa uzalendo haijalishi nini!
Japo mimi Simba lakini kwnye michezo ya kimataifa navaa uzalendo haijalishi nini!