Ahaahaa...Nipe herufi za mwanzo na mwisho [emoji23][emoji23]
Nami Nina wasiwasi hii inawezekana labda kama zitafuzu zote zikiwa zimeshika nafasi ya moja yaani iwapo mnyama akifuzu namba 2 katika kundi lake na pia Yanga afuzu namba 2 ktk kundi lake basi hapo hawatakutana robo fainal, Lakini mmojawapo akishika namba 1 katika kundi lake na mwingine no. 2 ktk kundi lake, mmh! Hapo ktk draw ni kuomba Mungu tu!!Mara paaap Simba vs Yanga CAFCL Final
Hatari sana ....ngoja tuoneNami Nina wasiwasi hii inawezekana labda kama zitafuzu zote zikiwa zimeshika nafasi ya moja yaani iwapo mnyama akifuzu namba 2 katika kundi lake na pia Yanga afuzu namba 2 ktk kundi lake basi hapo hawatakutana robo fainal, Lakini mmojawapo akishika namba 1 katika kundi lake na mwingine no. 2 ktk kundi lake, mmh! Hapo ktk draw ni kuomba Mungu tu!!
Halafu uje itafuna wewe kwa gharama za jamaa.Nipe herufi za mwanzo na mwisho za hyo pisi [emoji23][emoji23]
Acha uchawi weweLeo nmepata urahisi wa kuweza kujua matokeo ya baadaye kati ya wananchi dhidi ya medeana fc tofauti na mechi ya Jana ya kolos
Mitambo yanagu inaniambia mwanchi anaenda kushinda 3......0 + kucheza soka safi
NB tuonyeshe uzalendo.... muhimu Simba na Yanga zipite robo final