Utabiri wangu: Yanga 3......0 medeana

Utabiri wangu: Yanga 3......0 medeana

Mara paaap Simba vs Yanga CAFCL Final
Nami Nina wasiwasi hii inawezekana labda kama zitafuzu zote zikiwa zimeshika nafasi ya moja yaani iwapo mnyama akifuzu namba 2 katika kundi lake na pia Yanga afuzu namba 2 ktk kundi lake basi hapo hawatakutana robo fainal, Lakini mmojawapo akishika namba 1 katika kundi lake na mwingine no. 2 ktk kundi lake, mmh! Hapo ktk draw ni kuomba Mungu tu!!
 
Nami Nina wasiwasi hii inawezekana labda kama zitafuzu zote zikiwa zimeshika nafasi ya moja yaani iwapo mnyama akifuzu namba 2 katika kundi lake na pia Yanga afuzu namba 2 ktk kundi lake basi hapo hawatakutana robo fainal, Lakini mmojawapo akishika namba 1 katika kundi lake na mwingine no. 2 ktk kundi lake, mmh! Hapo ktk draw ni kuomba Mungu tu!!
Hatari sana ....ngoja tuone
 
Leo nmepata urahisi wa kuweza kujua matokeo ya baadaye kati ya wananchi dhidi ya medeana fc tofauti na mechi ya Jana ya kolos

Mitambo yanagu inaniambia mwanchi anaenda kushinda 3......0 + kucheza soka safi
NB tuonyeshe uzalendo.... muhimu Simba na Yanga zipite robo final
Acha uchawi wewe
 
Back
Top Bottom