Matokeo ya idadi ya magoli? Unafahamu vipi?Vtunguu swaumu
Jani andika simba nyuma yanga
Mdalasini pasua saumu katikati
Weka jani lako fungal na mdalasini kwa pamoja
Washa mkaaa sio gesi
Choma moto
Moshi ukitoka kushota kashinda yanga
Kulia kashinda simba
Katikati drw
Simba qndikia na red pen
Yanga green pen
Niko palwa lwa wakala nawasubiria
Wenziio walitembea uchi angalizo tuYanga akiibuka mshindi Leo najikata kidole gumba cha mkono wa kulia
Weka gg n 3 plus pumzika yaan wafingane jumla ya magoli yaanzie 3 nk ft....Matokeo ya idadi ya magoli? Unafahamu vipi?
Uko wapi ,tuwe karibu kabisa tushuhudieYanga akiibuka mshindi Leo najikata kidole gumba cha mkono wa kulia
AiseeVtunguu swaumu
Jani andika simba nyuma yanga
Mdalasini pasua saumu katikati
Weka jani lako fungal na mdalasini kwa pamoja
Washa mkaaa sio gesi
Choma moto
Moshi ukitoka kushota kashinda yanga
Kulia kashinda simba
Katikati drw
Simba qndikia na red pen
Yanga green pen
Niko palwa lwa wakala nawasubiria
Yanga atafunga goli 1 na Simba atafunga magoli mawili.
Yanga 1 -2 Simba.
πKuna mawili kuhusu wewe
Ama umechanganyikiwa au umerogwa
Najua huwa hukosei mdauYanga atafunga goli 1 na Simba atafunga magoli mawili.
Yanga 1 -2 Simba.
ππππKuna mawili kuhusu wewe
Ama umechanganyikiwa au umerogwa
Tumuulize kwanzaMwamposa hawezi kutabiri hii kitu kweli??
πππYanga akiibuka mshindi Leo najikata kidole gumba cha mkono wa kulia
π€£π€£ππ€£ππ€£ππ€£ππ€£πππ€£πππ€£Inaweza kwenda dro ,wakapiga mikwaju ya penati
Nakuchukiaπ€£π€£ππ€£ππ€£ππ€£ππ€£πππ€£πππ€£