Utabiri wangu Yanga vs Simba!

Utabiri wangu Yanga vs Simba!

Vtunguu swaumu
Jani andika simba nyuma yanga
Mdalasini pasua saumu katikati
Weka jani lako fungal na mdalasini kwa pamoja
Washa mkaaa sio gesi

Choma moto
Moshi ukitoka kushota kashinda yanga
Kulia kashinda simba
Katikati drw

Simba qndikia na red pen
Yanga green pen

Niko palwa lwa wakala nawasubiria
Matokeo ya idadi ya magoli? Unafahamu vipi?
 
Matokeo ya idadi ya magoli? Unafahamu vipi?
Weka gg n 3 plus pumzika yaan wafingane jumla ya magoli yaanzie 3 nk ft....
Unaa hela Weka red kard niko kwa wakala marioooo ukila kumbuka sadaka kabla hazijajsha zote
 
Vtunguu swaumu
Jani andika simba nyuma yanga
Mdalasini pasua saumu katikati
Weka jani lako fungal na mdalasini kwa pamoja
Washa mkaaa sio gesi

Choma moto
Moshi ukitoka kushota kashinda yanga
Kulia kashinda simba
Katikati drw

Simba qndikia na red pen
Yanga green pen

Niko palwa lwa wakala nawasubiria
Aisee
 
Walioko mbezi beach tujuzane tunaangalia kiwanja gan super pamoja kinywaji at urnown cost
 
fasta natafuta sehemu ya screen kubwa mbez beer za bei ya kawaida
Iwe na lodge nikishinda siendi mbali na wifiyenu wa hiariii
 
YnG anashinda hii game ft
Kwa
2-1/3-1/2-0
Kati ya hizo andika mda na magoli mengi yanafungwa kipindi cha pili
...cha kwanza kitakuwa kigumu kama shaballahlah atacheza tunaenasza anza na. Ht drw
Otherwise hali za mawimbi ya kichawi yattaongezeka

katiya hawa watakuwa wafungaji wa Yanga

d.msonda
Aziz k
mudathir
Dube
Baleke

Na refa asipokuwaaaa na msimamo naiona red kadhaa kwenye hii mechi na itaharibu mchezo na ladha yake

Namwona baleke akiiingia kambani mara 2...tusubiri dk 90
 
ukitaka kuwa na nyumba kama ya bakheresa njoo nbox hakuna kafara wala pesa iman hako tu

Kupataa kichekesho kama hikki andika

""Tamaa mbaya"" kwenda no 556716
 
Kwa namna Yanga inacheza total football kukaba na kushambulia kwa pamoja na class ya wachezaji wake ni wazi Simba ni underdog na itafungwa leo japo nafasi ya Simba kushinda pia ipo ila kiukweli ni ndogo sana sababu zile janja janja za kupiga kona bila filimbi ya refa leo hakuna.
 
Tatizo siyo timu ya Yanga bali ni Gamondi, huyu jamaa akili yake awe na timu itakayoweza kucheza na timu kama Real Madrid au Man City. Hivyo leo Simba labda wasiingie uwanjani lakini kipigo kisicho na huruma kinawahusu Makoro.
 
Back
Top Bottom