Utabiri wangu: Yanga watashinda kwa mgoli 2 dhidi ya CR Belouizdad na yote yatafungwa na Mzize

Toa ahadi ya kueleweka kujitoa jf sio ahadi watu wengi wana multiple I'd unatoa ahadi za chekechea.
But hii ndio the best one to me
 
Yanga watakuwa na uchovu wa safari kushinda game hiyo itakuwa muujiza!
 
Nitajitoa JF mazima
Sema tu mambo yakienda tofauti na matarajio yako! Kuna mawili; aidha ujibaraguze na kupotezea, au urudi kwa ID nyingine.


Ila kusema eti unapotea mazima jamii forums!! Kwa hilo nakataa. Maana jamii forums ni kama uraibu wa madawa ya kulevya, au kubet! Huwezi ukaachana nayo kwa urahisi tu.
 
NDOTO NJEMA HIYO KWA NIABA YA WANANCHI NA TAIFA KWA UJUMLA
 
kama atakuwa sub na kuingizwa kipindi cha pili itakuweje
 
Yanga watashinda kwa magoli mawili kwa sifuri.

Magoli yote mawili yatafungwa na Walid Mzize na yatafungwa kipindi cha kwanza.
Bado utabiri wako haujawa subjective to changes?

Unao muda wa kurekebisha mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…