Mkuu bado kwenye ramli we ni mchanga,una vision na unakuja vizuri sema tu mizimu ilitumia mafumbo ukawaelewa vibaya ndo maana matokeo yakaja kinyumeNimeshaweka tayari uzi wa kujitoa jf na kuaga . Naona mods wameuunganisha na uzi mwingine.
Nilisema utabiri wangu ukifeli najitoa jf
Mkuu bado kwenye ramli we ni mchanga,una vision na unakuja vizuri sema tu mizimu ilitumia mafumbo ukawaelewa vibaya ndo maana matokeo yakaja kinyume
Sent using Jamii Forums mobile app
Angeandika kuwa anajitoa kwa ID ya LIKUD ningeona kaandika ukweli.Mganga utatema Bungo nakwambia.
Unazuga kujitoa mtu una ID kibao.[emoji23]
Unakuwaje umejitoa tayari na huku unaendelea ku comment ndugu!!??Haina haja coz nimeshajitoa Tayari
Liangalie Lipumbavu na Kubwa Jinga hili. Huwezi kutwa Kumchukia GENTAMYCINE wa Watu hapa JamiiForums halafu ukawa na Akili timamu. Ona sasa Ulivyoumbuka.Huo ndio utabiri wangu.
Yanga watashinda kwa magoli mawili kwa sifuri.
Magoli yote mawili yatafungwa na Walid Mzize na yatafungwa kipindi cha kwanza.
Watu mlio karibu na benchi la ufundi la Yanga fanyieni kazi taarifa hii.
Endapo haitakuwa hivi basi nitajitoa jamii forums moja kwa moja na sintopost wala kucomment chochote hapa jf.
I put one hundred percent in everything that I have said above👆
Update:
1. Mzize akifunga magoli yote mawili kipindi cha pili nitajitoa kwa sababu nimesema Maize atafunga magoli yote mawili kipindi cha kwanza
2. Kama Mzize atafunga goli moja kipindi cha kwanza na mpya kipindi cha pili nitajitoa JF moja moja
3. Kama Yanga watashinda magoli mawili ila ya kafungwa na wachezaji wengine nitajitoa pia.
4. Kama Yanga watafungwa magoli matatu kwa mawili lakini magoli mawili yote ya Yanga yakafungwa na Mzize kipindi cha kwanza still bado nitajitoa JF hata kama half time itamalizika kwa Yanga kuongoza magoli mawili kwa sifuri na yote yawe yamefungwa na Mzize.
# my love moves in the direction of my words.
Aaaah c'mon Genta we know you 😂Liangalie Lipumbavu na Kubwa Jinga hili. Huwezi kutwa Kumchukia GENTAMYCINE wa Watu hapa JamiiForums halafu ukawa na Akili timamu. Ona sasa Ulivyoumbuka.
Sawa GENTAMYCINE Mi ndo najitoa hivyo jf. Najitoa mazima. Hutokuwa tena na mtu wa kukuzingua kwenye post zako kuchangamsha kijiwe...Liangalie Lipumbavu na Kubwa Jinga hili. Huwezi kutwa Kumchukia GENTAMYCINE wa Watu hapa JamiiForums halafu ukawa na Akili timamu. Ona sasa Ulivyoumbuka.
Mkuu ukisha kuwa na ID ambayo umeizoea na umeitumia kwa muda mrefu ni ngumu sana kuanza upya na ID nyingine.Angeandika kuwa anajitoa kwa ID ya LIKUD ningeona kaandika ukweli.
Unazingua sema unabadili user name tuNdio maana nilisema nitajitoa jf mazima. U will never see my post in jf again
Timiza ahad we mbweha huku hawapo marumo waliowapa sifa ambazo hamnaMkuu ukisha kuwa na ID ambayo umeizoea na umeitumia kwa muda mrefu ni ngumu sana kuanza upya na ID nyingine.
Nilijiunga jf mwaka.2012 na sasa ni 2023..Almost miaka.kumi na.moja mkuu.
Ni ngumu sana kuja na.id mpya just like that.
ID mpya ina.make.sense kama.unazitumia zote mbili kwa.pamoja.
Mbna bado upoo?? [emoji23][emoji23][emoji23]Haina haja coz nimeshajitoa Tayari
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kila la heri mkuu[emoji119]
Sawa GENTAMYCINE Mi ndo najitoa hivyo jf. Najitoa mazima. Hutokuwa tena na mtu wa kukuzingua kwenye post zako kuchangamsha kijiwe...