Utabiri: Yanga itakuwa Klabu ya Tatu nchini kutumia VAR baada ya Simba SC na Simba Queens

Utabiri: Yanga itakuwa Klabu ya Tatu nchini kutumia VAR baada ya Simba SC na Simba Queens

Mashabiki wa simba wengi wao wanapenda sana kujivunia hata yale mafanikio yasiyo na impact yoyote ile katika klabu yao.

Sasa ukiwauliza hiyo VAR, imewaletea impact gani kwenye timu yao! Sidhani kama watakuwa na majibu sahihi.

Haijashangaza hata kuona siku ile ya uchaguzi wao wakilipuka kwa shangwe, kumshangilia Caesar Manzoki, ambaye hakuwa na umuhimu wowote ule kwenye huo uchaguzi!!
Baba mkubwa salama lkn[emoji16]
 
Mashabiki wa simba wengi wao wanapenda sana kujivunia hata yale mafanikio yasiyo na impact yoyote ile katika klabu yao.

Sasa ukiwauliza hiyo VAR, imewaletea impact gani kwenye timu yao! Sidhani kama watakuwa na majibu sahihi.

Haijashangaza hata kuona siku ile ya uchaguzi wao wakilipuka kwa shangwe, kumshangilia Caesar Manzoki, ambaye hakuwa na umuhimu wowote ule kwenye huo uchaguzi!!
Hawajielewi
 
Kwaiyo kutumia VAR nayo imekuwa mada ya kuleta hapa? Aya baada ya kutumia VAR umeleta kombe gani? Au baada ya kutumia VAR ukaacha kusajili kina kyombo na sawadogo? Ulipewa zawadi gani labda baada ya kutumia iyo VAR? Ujinga nao ni mzigo mkubwa sana kwa watanzania
Teh teh teh 😂😂 usikasirike chief....take it easy.
 
Mwaka huu wana makombe mengi sana imagine kombe la VAR tayari wanalo, Chama yupo kwenye timu ya wiki ya CAF, Inonga kuitwa timu ya Taifa, Barbara ni secretary huko CAF, Manzoki mjumbe wa mkutano mkuu
Hawa jamaa hata ukiamua kuwatandika viboko, bado wanaweza kukusifia! Yaani tangu walipoitwa mbumbumbu, mpaka leo hakuna mabadiliko. Bado akili zao ziko vilevile.
 
Msiwanange sana jamani, taratibu watazoea mambo haya ya kimataifa. Sasa hivi wanajiandaa kufanya parade J2 kutoka Jangwani hadi Uwanja wa Taifa kwenda kusherehekea kuingia robo fainali.

Wanasahau walikuwa wanawakebehi wengine ambao imekuwa ni kawaida kwao kuingia robo fainali.
 
Mashabiki wa simba wengi wao wanapenda sana kujivunia hata yale mafanikio yasiyo na impact yoyote ile katika klabu yao.

Sasa ukiwauliza hiyo VAR, imewaletea impact gani kwenye timu yao! Sidhani kama watakuwa na majibu sahihi.

Haijashangaza hata kuona siku ile ya uchaguzi wao wakilipuka kwa shangwe, kumshangilia Caesar Manzoki, ambaye hakuwa na umuhimu wowote ule kwenye huo uchaguzi!!
Mkuu Kwani hujui kuwa Wana Simba ni Mbu mbu mbu


Huoni hata thread wanazoleta humu
 
So nyie mpo mnasubiri orodha wakati wenzenu tumeshataarifiwa na Caf toka December mwaka Jana
Ndiyo maana kuna nguvu kubwa ya kuipiga vita Simba sasa hivi. Wanatamani sana kupindua meza waende wao, ndiyo maana anakuuliza kuna list imeshatangazwa? Siwaamini kabisa waswahili hawa.
 
Mechi ya Simba na Berkane ambayo ilitegemewa VAR kutumika uwanjani haikutumika kwa mujibu wa mtaalam wa Azam ambaye alikua anashughulika utaalamu uo, Camera hazikutosha kufunga mfumo VAR.
Hata mwamuzi alipotakiwa na wachezaji wa Berkane kujiridhisha katika baadhi ya Matukio hakwenda kwakua alijua hakukua na VAR.
Berkane walikua wakilalamikia Goli la Sako ambalo Kwa mujibu wa picha za video kupitia Azam tv kabla ya kufungwa Kwa goli ilo Medi Kagere alikua ofside Kwa kuuingilia mchezo na kuzuia uoni wa Kipa wa Berkane wakati akitaka kudaka mpira ulio pigwa na Sakho.

Penalty ambayo Berkane Wana lalamikia kunyimwa baada ya Aishi Manura kuchelewa ku udaka mpira na ku mwangusha mchezaji wa Rs Berkane.
Goli la kusawazisha la Rs Berkane lililo kataliwa kuonekana halikua na tatizo lolote kupitia picha za video za Azam tv.

Matukio yote Kwa ujumla yalihitaji refarii kutoka Kongo bwana Ndala kwenda kuyathibitisha kupitia picha za marejeo ya Television ila hakwenda na kupelekea Bench la Rs Berkane kufanya Vulugu katika mchezo huo.
Hata hivyo Refa uyo baaadae alikuja kufungiwa kutokana na Rs Berkane kutuma malalamiko Yao Kwa CAF.
 
Mashabiki wa simba wengi wao wanapenda sana kujivunia hata yale mafanikio yasiyo na impact yoyote ile katika klabu yao.

Sasa ukiwauliza hiyo VAR, imewaletea impact gani kwenye timu yao! Sidhani kama watakuwa na majibu sahihi.

Haijashangaza hata kuona siku ile ya uchaguzi wao wakilipuka kwa shangwe, kumshangilia Caesar Manzoki, ambaye hakuwa na umuhimu wowote ule kwenye huo uchaguzi!!
furaha ni furaha tu, Kama umezidiwa Jambo na mpinzani kubali na ujipange, sio kuangalia faida. Kwan wewe Yanga ikichukua ubingwa shirikisho unapata faida gan? utaingia kwenye mgao wa hela? Yanga ikichukua kombe kuna salary yako inapanda? Ustake kujaj furaha ya mwenzio
 
Back
Top Bottom