kipachaibwe
Member
- Dec 11, 2020
- 36
- 71
Baba mkubwa salama lkn[emoji16]Mashabiki wa simba wengi wao wanapenda sana kujivunia hata yale mafanikio yasiyo na impact yoyote ile katika klabu yao.
Sasa ukiwauliza hiyo VAR, imewaletea impact gani kwenye timu yao! Sidhani kama watakuwa na majibu sahihi.
Haijashangaza hata kuona siku ile ya uchaguzi wao wakilipuka kwa shangwe, kumshangilia Caesar Manzoki, ambaye hakuwa na umuhimu wowote ule kwenye huo uchaguzi!!
HawajielewiMashabiki wa simba wengi wao wanapenda sana kujivunia hata yale mafanikio yasiyo na impact yoyote ile katika klabu yao.
Sasa ukiwauliza hiyo VAR, imewaletea impact gani kwenye timu yao! Sidhani kama watakuwa na majibu sahihi.
Haijashangaza hata kuona siku ile ya uchaguzi wao wakilipuka kwa shangwe, kumshangilia Caesar Manzoki, ambaye hakuwa na umuhimu wowote ule kwenye huo uchaguzi!!
Anastahili tuzo yule mzeeRage aliona mbali kabisa..
Usibwabwaje orodha ya timu zinazocheza super League imetoka lini? ilete hapa tusipoteze mdaUnadhani kwa nini juzi mmechezea Chamazi mlikosusia bidhaa za Azam?
Teh teh teh 😂😂 usikasirike chief....take it easy.Kwaiyo kutumia VAR nayo imekuwa mada ya kuleta hapa? Aya baada ya kutumia VAR umeleta kombe gani? Au baada ya kutumia VAR ukaacha kusajili kina kyombo na sawadogo? Ulipewa zawadi gani labda baada ya kutumia iyo VAR? Ujinga nao ni mzigo mkubwa sana kwa watanzania
A hold on hakuna namnaTeh teh teh 😂😂 usikasirike chief....take it easy.
Hawa jamaa hata ukiamua kuwatandika viboko, bado wanaweza kukusifia! Yaani tangu walipoitwa mbumbumbu, mpaka leo hakuna mabadiliko. Bado akili zao ziko vilevile.Mwaka huu wana makombe mengi sana imagine kombe la VAR tayari wanalo, Chama yupo kwenye timu ya wiki ya CAF, Inonga kuitwa timu ya Taifa, Barbara ni secretary huko CAF, Manzoki mjumbe wa mkutano mkuu
So nyie mpo mnasubiri orodha wakati wenzenu tumeshataarifiwa na Caf toka December mwaka JanaWewe Mbumbumbu orodha ya timu zinazocheza super League imetoka lini?
Mkuu Kwani hujui kuwa Wana Simba ni Mbu mbu mbuMashabiki wa simba wengi wao wanapenda sana kujivunia hata yale mafanikio yasiyo na impact yoyote ile katika klabu yao.
Sasa ukiwauliza hiyo VAR, imewaletea impact gani kwenye timu yao! Sidhani kama watakuwa na majibu sahihi.
Haijashangaza hata kuona siku ile ya uchaguzi wao wakilipuka kwa shangwe, kumshangilia Caesar Manzoki, ambaye hakuwa na umuhimu wowote ule kwenye huo uchaguzi!!
Ndiyo maana kuna nguvu kubwa ya kuipiga vita Simba sasa hivi. Wanatamani sana kupindua meza waende wao, ndiyo maana anakuuliza kuna list imeshatangazwa? Siwaamini kabisa waswahili hawa.So nyie mpo mnasubiri orodha wakati wenzenu tumeshataarifiwa na Caf toka December mwaka Jana
Aishi miaka mingi mzee RageSo nyie mpo mnasubiri orodha wakati wenzenu tumeshataarifiwa na Caf toka December mwaka Jana
furaha ni furaha tu, Kama umezidiwa Jambo na mpinzani kubali na ujipange, sio kuangalia faida. Kwan wewe Yanga ikichukua ubingwa shirikisho unapata faida gan? utaingia kwenye mgao wa hela? Yanga ikichukua kombe kuna salary yako inapanda? Ustake kujaj furaha ya mwenzioMashabiki wa simba wengi wao wanapenda sana kujivunia hata yale mafanikio yasiyo na impact yoyote ile katika klabu yao.
Sasa ukiwauliza hiyo VAR, imewaletea impact gani kwenye timu yao! Sidhani kama watakuwa na majibu sahihi.
Haijashangaza hata kuona siku ile ya uchaguzi wao wakilipuka kwa shangwe, kumshangilia Caesar Manzoki, ambaye hakuwa na umuhimu wowote ule kwenye huo uchaguzi!!
Luc Eymel aliona mbali zaidRage aliona mbali kabisa..