Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,861
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka sasa ikiwa ni miaka kumi na ushee, mimi na my nanihii wangu, tumezingatia hizo Amri, Lakini siri kubwa ya kuziweza zote hizo ni kumtanguliza MUNGU.
...'they are easier done' women can observe these commandments longer than men.
I doubt it
Hiyo ya sita mh...kusamehe..oookkkaayy...lakini kusahau inategemea ndugu yangu...kuna mengine hayasahauliki.
Imetulia, ningependa nipate copy il niziwezi kuicopy. How to go about wana JF. Naombeni msaada hapo wajameni.
Mnamtanguliza Mungu wapi? Kama mnamtanguliza ina maana hamjaweza zingatia hizo amri. Mnatakiwa mtangulie wenyewe
Point hiyo mkuu,watatngulie wenyewe.Maana wakishamtanguliza Mungu basi kila kitu watakuwa wanamsingizia Mungu eti kapanga.