eddy brown
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 414
- 314
Mko baa mnakunywa mara ghafla mnavamiwa na majambazi na kutoa amri kua, toeni kila kitu mlo kuanacho mtupe chini, kisha uchague moja kati ya haya. Anaetaka kufa atokee mlango wa mbele, anaetaka kuishi atumie mlango wa nyuma ila ukubali kuliwa 0713. Je mlango upi utachagua na ndo hio hio iliopo na wameidhibiti na silaha. Hebu tusaidiane ushauri.