TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
Ukitaka salamu nenda Pemba au Unguja, kwangu utaula wa Chuya
Kwakuwa mmeamua kukubaliana na Makahaba ya mjini na yasiyokuwa na ndoa ila kazi yao ni kuachanisha ndoa za watu, inapaswa uamue yafuatayo:
1. Nikulipe Mshahara lakini usiwe mke wangu tena uwe mdada wa kazi.
2. Niwe nakulipa Mshahara tu, lakini matumizi yote ya ndani ikiwemo Ada za shule za watoto ziwe juu yako.
3. Nikikulipa mshahara na wewe unilipe wa kukupiga miti kwasababu wewe unalala kama ligogo kazi kubwa nafanya mimi.
4. Nikikulipa mshahara ukubali mimi kuingiza vifaa vingine ndani na sitaki maswali kwakuwa wewe si mke wangu ni mfanyakazi wa ndani!.
5. Nikikulipa Mshahara nikitoka na BMW X3 yangu nitakaa nje hata wiki 2 na sitaki maswali kwakuwa wewe si mke wangu bali ni mdada wa kazi!.
6. Nikikulipa mshahara sitaki fyokofyoko,hizo fyoko fyoko utamalizana nazo wewe!.
SITAKI MASWALI,KAMA UNA SWALI KAMUULIZE MJINGA MWENZIO JOYCE KIRIA.
TUKANA UONE NITAKACHOKUFANYA
Kwakuwa mmeamua kukubaliana na Makahaba ya mjini na yasiyokuwa na ndoa ila kazi yao ni kuachanisha ndoa za watu, inapaswa uamue yafuatayo:
1. Nikulipe Mshahara lakini usiwe mke wangu tena uwe mdada wa kazi.
2. Niwe nakulipa Mshahara tu, lakini matumizi yote ya ndani ikiwemo Ada za shule za watoto ziwe juu yako.
3. Nikikulipa mshahara na wewe unilipe wa kukupiga miti kwasababu wewe unalala kama ligogo kazi kubwa nafanya mimi.
4. Nikikulipa mshahara ukubali mimi kuingiza vifaa vingine ndani na sitaki maswali kwakuwa wewe si mke wangu ni mfanyakazi wa ndani!.
5. Nikikulipa Mshahara nikitoka na BMW X3 yangu nitakaa nje hata wiki 2 na sitaki maswali kwakuwa wewe si mke wangu bali ni mdada wa kazi!.
6. Nikikulipa mshahara sitaki fyokofyoko,hizo fyoko fyoko utamalizana nazo wewe!.
SITAKI MASWALI,KAMA UNA SWALI KAMUULIZE MJINGA MWENZIO JOYCE KIRIA.
TUKANA UONE NITAKACHOKUFANYA