General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Waungwana.
Ikiwa umebaini kwa ushahidi kabisa kwamba mkeo amezaa na kiongozi wako (Anaweza kuwa waziri, Mkuu wa mkoa, Rais,) na pia kiongozi huyo ndiye muajiri wako ambae anauwezo wa kukufukuza kazi na hata kuondoa uhai wako?
Utachukua uamuzi gani?
Ikiwa umebaini kwa ushahidi kabisa kwamba mkeo amezaa na kiongozi wako (Anaweza kuwa waziri, Mkuu wa mkoa, Rais,) na pia kiongozi huyo ndiye muajiri wako ambae anauwezo wa kukufukuza kazi na hata kuondoa uhai wako?
Utachukua uamuzi gani?