Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,442
Nipo eneo fulani hapa nachakata kinywaji kiwe mkojo
Sasa Kuna wadau kama wanne wapo Meza ya Jirani ,halafu nahisi ni wasukuma hawa manake nipo kwako huku
Hiyo meza waliyokaa wadau ,watatu wanakunywa bia,huyu mwenzao wamemlundikia soda tatu Tena spalleta na chupa ya maji
Hivi mdau unakubalije kwenda bar wenzako wanakula gambe ,wanapiga maji ya dhahabu wewe umekomaa na misoda yako
Mimi nikiwa na rafiki mnywa soda siwezi kwenda nae Bar atanihaibisha na misoda yake
Yani mwanaume mzima umekaa na chupa tatu za soda Tena jamii ya Fanta unakunywa wakati wenzako wana maji ya dhahabu
Comeee on braza acha ushambaaa
Kula bia wewe.
Sasa Kuna wadau kama wanne wapo Meza ya Jirani ,halafu nahisi ni wasukuma hawa manake nipo kwako huku
Hiyo meza waliyokaa wadau ,watatu wanakunywa bia,huyu mwenzao wamemlundikia soda tatu Tena spalleta na chupa ya maji
Hivi mdau unakubalije kwenda bar wenzako wanakula gambe ,wanapiga maji ya dhahabu wewe umekomaa na misoda yako
Mimi nikiwa na rafiki mnywa soda siwezi kwenda nae Bar atanihaibisha na misoda yake
Yani mwanaume mzima umekaa na chupa tatu za soda Tena jamii ya Fanta unakunywa wakati wenzako wana maji ya dhahabu
Comeee on braza acha ushambaaa
Kula bia wewe.