Thecoder
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,590
- 4,244
Aah wazazi majukumu yao yaliishia ukumbini yaliyobaki yote yapo mikononi mwangu.😅😅😅hufikirii wazazi uliowasumbua
Kuna wakati natamani kuwashauri watu wasitafute wake au waume kanisani kwa maana wengi kule hawako kwenye comfort zone zao ila naogopa kuzodolewa na ndugu zangu wa imani.