Aah wazazi majukumu yao yaliishia ukumbini yaliyobaki yote yapo mikononi mwangu.๐ ๐ ๐ hufikirii wazazi uliowasumbua
Mkuu jiandae kuna siku umelala atazaba na tofari huyoDawa n kuachana tu,sasa kama mim wangu kila siku aniamin ni ugomvi,simu zikipgwa tu masikio yanakuwa juu
Mara ananiombea ajari,mara ananitishia kuniua
inahitaji ujasiri sanaAah wazazi majukumu yao yaliishia ukumbini yaliyobaki yote yapo mikononi mwangu.
Kuna wakati natamani kuwashauri watu wasitafute wake au waume kanisani kwa maana wengi kule hawako kwenye comfort zone zao ila naogopa kuzodolewa na ndugu zangu wa imani.
Yethu!Ndoa ndoano,, dunia nayo imebadirika wakuu na kila mtu hapa duniani ana vitu anavyo vitaka ifike mahali tupate vibali vya ndoa za mkataba mambo ya kuishi na mtu kwa vinyongo sio sawa kabisa. View attachment 3065345
Yeah ila kiuhalisia haya mambo hayapaswi kwenda haraka, na mwanamke ambae unataka umuoe its better ukamfanya kuwa rafiki yako kwanza kabla hata hujamuonesha interest yoyote ya kumtaka hii itampa uhuru na uwazi wa kuishi kwenye uhalisia wake.inahitaji ujasiri sana
What!Yethu!
Tatizo liko kwenye uchaguzi wa huyo mke/mume, vigezo siku hizi vinapuuzwa kinachoangaliwa ni uzuri wa nje, kama mwanamke ni presentable unabeba,ukijipa moyo mengine mtamalizana ndani, matokeo yake mnashindwa kumalizana mnakuja kulia nje, wanawake nao wamebaki na kigezo kimoja tu, Pesa Pesa Pesa, mwanaume akiwa na pesa kwa mwanamke hana kipingamizi, siku hizi wale wanawake wa "Sidanganyiki na pesa zako" hawapo tena, si unaona majina kama "Fataki" siku hizi hayapo. Sasa ukishaingia kwenye ndoa unagundua hafai pamoja na kuwa anapesa au ana shape(tako), unagundua kuwa umeyatimbaKatika utafiti mdogo nilioufanya nimegundua watu wengi waliingia kwenye ndoa bila kujuana vizuri kiundani.
Sasa baada ya kuingia kwenye ndoa ndipo Mke/Mume anagundua mapungufu Mengi kwa mwenzi wake ambayo hakuyajua kabla ya Ndoa.
Kama ilivyo ndoa za Kikristo zinasema hadi Kifo kiwatenganishe ndipo muachane pamoja na sababu nyinginezo.
Nimesoma Visa na mikasa kutoka kwa wanasaikolojia na wataalamu wengine wa kimahusiano Nimeona malalamiko mengi yaliyomo ndani ya Ndoa.
Malalamiko ya wanaume.
1.Mke hapendi ndugu zake.
2.Mke mvivu.
3.Mke sio Mwaminifu katika ndoa.
4.Mke Mchoyo.
5.Mke hamjali Mumewe.
6.Mke ana Mdomo na dharau.
7.Mke Mchawi.
8.Mke halei vizuri watoto.
9.Mke hataki kulea watoto wa nje wa Mumewe pamoja na mambo mengine kama hayo.
Malalamiko ya Wanawake kwa Wanaume.
1.Sio waaminifu.
2.walevi kupindukia na kuchelewa kurudi nyumbani.
3.Hawajali familia.
4.Hawashirikishi familia mambo yao.
5.Kusikiliza zaidi wazazi wao hasa Mama.
Na mambo mengine kama hayo.
Lakini inaelezwa kuwa kabla ya hapo walikuwa vizuri na kuamua kuingia kwenye ndoa.
Kanisani mliapa mtakuwa pamoja kwenye shida na raha.Lakini baada ya kugundua hayo madhaifu mnaanza kuomba Talaka ๐ mlidhani ndoa ni nini?.
Hakunaga ndoa nyepesi, ndoa ni kitu kikubwa sana kinachobeba mambo mengi sana na ni safari ndefu.
Mwingine anashtuka anapoambiwa mkwe atakuja kuugulia hapa hadi apone. Anaanza kuzunguka zunguka kuomba ushauri.
Hiyo Ndio ndoa.
Sasa wewe ukikutana na utofauti huo utafanya nini?
hapa wewe ndo umekuwa kihunziNdoa ndoano,, dunia nayo imebadirika wakuu na kila mtu hapa duniani ana vitu anavyo vitaka ifike mahali tupate vibali vya ndoa za mkataba mambo ya kuishi na mtu kwa vinyongo sio sawa kabisa. View attachment 3065345
Aah mkuu mi bhna naona hzi ndoa za vitanzi ni kipengere sana tuoe kwa mkataba tukichokana kila mtu ashike zake...........hapa wewe ndo umekuwa kihunzi
na una sababu zako za kujitetea๐
ndoa ni siasa pia
Dah kipengele kwa kweliHuwa najilinganisha na jamaa yangu mmoja kaoa mke yuko rafu balaa nasema sijui nikipata mke wa vile sijui kama ntaweza kuishi nae
Nguo anatupatupa hovyo ukienda kwake nguo zimejaa kwenye kochi muda wote kukaa hadi muanze kusogeza nguo, kisu utakuta juu ya meza, sufuria chini , ye mwenyewe anahiyo khanga yake ameiteua ya kushindia nyumbani ni nyeupe ila hadi imebadilika rangi sijui haifui, daah ila kutana nae barabarani alivyojiremba sasa pini kinoma.
Mi mwanamke wa vile siwezani nae kwenye nyumba chafu hata kukaa huwa naona sina amani
๐ ๐ ๐Tatizo liko kwenye uchaguzi wa huyo mke/mume, vigezo siku hizi vinapuuzwa kinachoangaliwa ni uzuri wa nje, kama mwanamke ni presentable unabeba,ukijipa moyo mengine mtamalizana ndani, matokeo yake mnashindwa kumalizana mnakuja kulia nje, wanawake nao wamebaki na kigezo kimoja tu, Pesa Pesa Pesa, mwanaume akiwa na pesa kwa mwanamke hana kipingamizi, siku hizi wale wanawake wa "Sidanganyiki na pesa zako" hawapo tena, si unaona majina kama "Fataki" siku hizi hayapo. Sasa ukishaingia kwenye ndoa unagundua hafai pamoja na kuwa anapesa au ana shape(tako), unagundua kuwa umeyatimba
Hapo hakujua kabla huyoHuwa najilinganisha na jamaa yangu mmoja kaoa mke yuko rafu balaa nasema sijui nikipata mke wa vile sijui kama ntaweza kuishi nae
Nguo anatupatupa hovyo ukienda kwake nguo zimejaa kwenye kochi muda wote kukaa hadi muanze kusogeza nguo, kisu utakuta juu ya meza, sufuria chini , ye mwenyewe anahiyo khanga yake ameiteua ya kushindia nyumbani ni nyeupe ila hadi imebadilika rangi sijui haifui, daah ila kutana nae barabarani alivyojiremba sasa pini kinoma.
Mi mwanamke wa vile siwezani nae kwenye nyumba chafu hata kukaa huwa naona sina amani