Brilliant Beauty
Member
- Jul 8, 2022
- 76
- 134
Hali kama hio nilikutana nayo mwaka wa pili.Wakati nasoma nilikuwa nikikutana na hali kama yako ya kutokuwa na mzuka wa kusoma sisomi kweli
Natumia huo muda kufanya yale napenda na kupumzika/kurelax sana huku nikienda darasani kama kawaida
Jaribu kufanya hayo,yanaweza kukusaidia kama ilivyokuwa kwangu
Ni hali ya mpito
Mtoa mada fuata huu ushauriWakati nasoma nilikuwa nikikutana na hali kama yako ya kutokuwa na mzuka wa kusoma sisomi kweli
Natumia huo muda kufanya yale napenda na kupumzika/kurelax sana huku nikienda darasani kama kawaida
Jaribu kufanya hayo,yanaweza kukusaidia kama ilivyokuwa kwangu
Ni hali ya mpito
Mie nilikuwa nakutana nayo mara nyingiHali kama hio nilikutana nayo mwaka wa pili.
Ulipofika mwaka wa tatu mzuka ukarudi
Asante sanaa nitazingatia hiliWakati nasoma nilikuwa nikikutana na hali kama yako ya kutokuwa na mzuka wa kusoma sisomi kweli
Natumia huo muda kufanya yale napenda na kupumzika/kurelax sana huku nikienda darasani kama kawaida
Jaribu kufanya hayo,yanaweza kukusaidia kama ilivyokuwa kwangu
Ni hali ya mpito
Nilijaribu kuamka nikasomaa kwelii ila naamka siku moja siku zinazofuata ndo kabsaa nachelewa mpaka keroAnza kuamka mapema sana....kupiga pindi.....
Asbh Kuna kuwa na mzuka sana
SawaMtoa mada fuata huu ushauri
Yeah sina historia kwa kwelii ila najiogopaaRelax... kama huna historia ya kufelifeli basi its all good
Ukiendelea hivi soon unatuletea mjombaWakuu nimejikuta nimekuwa mvivu sana hasa kwenye mambo ya kusoma, sina mood kabisa sijui nifanye nini.
Hamna ninachowaza useme hela au mapenzi, hamna chochote, nipo tu yaani sielewi japo nahudhuria lecture na kuelewa vizuri ila kusoma ndio imekuwa shida.
Nasoma law mwaka wa pili na kama mnavojua sheria usipokaza unalala yooo .....sasa dah hehhee yan nacheka tu ila sijuiYeah sina historia kwa kwelii ila najiogopaa
Hamna haiwezakaniii ....Ukiendelea hivi soon unatuletea mjomba
moduli ngapiNasoma law mwaka wa pili na kama mnavojua sheria usipokaza unalala yooo .....sasa dah hehhee yan nacheka tu ila sijui
Wenzako walisemaga hivyo hivyoHamna haiwezakaniii ....
Modul ngapi kivip kakamoduli ngap
si uko chuo ama....Modul ngapi kivip kaka
Yaani upo law school na unagamble na books eti mood , hehehe life is truly funny ...unless umetoka familia Ina hela ,otherwise nlipokuwa law school nlikuwa nikikumbuka shida iliyopo nyumbani usingizi unaishaNasoma law mwaka wa pili na kama mnavojua sheria usipokaza unalala yooo .....sasa dah hehhee yan nacheka tu ila sijui