Utafanya nini nikikupa kati ya Tsh 10milioni ---Tsh20milioni?

Utafanya nini nikikupa kati ya Tsh 10milioni ---Tsh20milioni?

Nitanunua kiwanja kilichopimwa na full documents then baada ya miaka miwili nitakuaj kukiuza kwa bei mara 2 ya bei niliyonunulia.. ndio bongo manake price zina shoot ile mbaya
I used to do this before, it really pays, but now i think going further by building on the site is a more better option
 
Tehe tehe, unywe bia kwa sababu hujawahi kunywa bia au?? Maembe ndugu utafulia mapema tafuta mradi mwingine.
 
Back
Top Bottom