Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie Sina nguvu za kiume au jiite tohashi.Mwambie mie sikupendi ... ataelewa
Kwani kuumia si ni kuumia tu...atapona baadae
Kuumizwa ni kawaida mkuuMwambie Sina nguvu za kiume au jiite tohashi.
Niko tayari kuumizwa na wewe.Kuumizwa ni kawaida mkuu
Tumeumizwa sana na baadae tunapona... wanaume wanatuumiza na siye wanawake tunaumiza wanaume...dunia ni uwanja wa vita mkuu...acha tu
Usimwamini mwanaume....Niko tayari kuumizwa na wewe.
Njoo nkubebe dear.
Baadhi ya wanaume tunaaninika, siyo kila mwanaume haaminiki, right?Usimwamini mwanaume....
Simple saikoloji ni wewe kufungua moyo na kumpa nafasi(kumsikiliza) kama anauwezo mzuri wa ku interact na wewe haitachukua muda utamuelewa na mtakua mnapendana...itapendeza sana kama mkifikia hatua hii.Kwa mfano mtu anakupenda kabisa na anaonyesha kweli anakupenda na wewe huna muda nae utafanyaje?
Yaani anakujali na muda mwingi anakuwa anakuhitaji muonane ila wewe moyo wako haupo kwake utafanyaje hapo?